Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
Huyu Hana kinga kikatiba muda ukifika atanyooka tu
Nalog off
Nalog off
Ni swala la muda watakimbia nchi wait 2026Bashite na jiwe ni watakatishaji fedha. Washtakiwe kwa uhaini na usaliti dhidi ya taifa. Haiwezekani mtu mmoja ajitwalie mamlaka ya kupora pesa za kodi azitumie atakavyo.
Bashite na jiwe ni watakatishaji fedha. Washtakiwe kwa uhaini na usaliti dhidi ya taifa. Haiwezekani mtu mmoja ajitwalie mamlaka ya kupora pesa za kodi azitumie atakavyo.
Biblia imeandika kwamba , Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamuMwana mfalme anakinga dhidi ya wote wanaotaka kujua siri ya utajiri wake.
Mods watauchinja huu uzi hawatarekebisha heading
mngezuia gazette basi
Hata asiporudi hakuna atakae ishi milele.huyu dogo (Nondo) akiendelea kucheza na DAB atapotzwa tena
akitoweka safari hii sijui kama atarudi
Hata asiporudi hakuna atakae ushindi milele.
Nondo kafanyajeTumuombee sana Abdul Nondo asipotee , baada ya Gazeti la MwanaHalisi kuripoti hadi kijiji anachotoka Daudi Bashite tena kwa ushahidi mwanana uliotukuka , likafungiwa maisha
Mo baada ya kutekwa akampa kuwa Mshauri mkuu wa Simba !Kutoka maktaba yetu.