tramadol
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 5,383
- 4,318
E
Na vyombo vinavyopenda kuandika habari za mbele kwa hilo vingeshaandika tu lakini mtoa mada anasema toka akamatwe jmosi mpaka jtatu alipopelekwa mahakamani hakuna chombo chochote kilichokuwa kinajua hiyo habari ndiyo usiri wa kazi kwa Serikali ya Dr John Magufuli anao usemea mtoa mada.
Elewa mada na wewe.Vyombo vya habari havikujua chochote Hata kama Mke alikuwa anajua kwani Mke ni chombo cha habari?Unasema vyombo vya habari havikujua mpaka Valentino alipo tangaza siku ya tatu? Unataka kusema pia na familia zao hazikujua wako wapi sio?
Seth umesema amekamatwa akiwa na mkewe.. Kwani huyo mwanamke alishindwa kusema kama angeamua?
Na vyombo vinavyopenda kuandika habari za mbele kwa hilo vingeshaandika tu lakini mtoa mada anasema toka akamatwe jmosi mpaka jtatu alipopelekwa mahakamani hakuna chombo chochote kilichokuwa kinajua hiyo habari ndiyo usiri wa kazi kwa Serikali ya Dr John Magufuli anao usemea mtoa mada.