MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,171
- 23,975
- Thread starter
- #101
Nakubaliana na angalizo lako.I feel good too.May God bless our President.TISS heshima yake iliyokuwa imepotea inarudi pole pole.Mungu ibariki Tanzania.
Nakubaliana na angalizo lako.I feel good too.May God bless our President.TISS heshima yake iliyokuwa imepotea inarudi pole pole.Mungu ibariki Tanzania.
Ni vizuri yaibuke mengi ili tuyafahamu kwa faida ya taifa.Naona yaliyoshindikana kufanyika awamu ya nne, yanatekelezwa kwenye awamu ya 5. Na yataibuka mengi zaidi ya hayo!