Mfano zipo nchi zilizochukua maamuzi ya kuwazuia watu wake kutoka nyumbani na kufunga kabisa shughuli za uzalishaji,na zipo nchi zilizochukua maamuzi ya kufunga mipaka yake kutokuruhusu kuingia na kutoka kwa wananchi wake.Lakini cha kustaajabu nchi hizi zimeendelea kukabiliwa na maambukizi na kuongeza ukubwa wa tatizo kwa wananchi wake.Ukubwa wa tatizo hili katika baadhi ya nchi unaongezwa na msongo wa mawazo na kukata tamaa kwa wananchi,uchumi wa familia unaoambatana na ukosefu wa chakula kutokana na kutokuwepo maandalizi stahiki na mlipuko wa magonjwa mengine ya kijamii.
Wewe na wenzako msichojua ni kwamba, nchi zote hizo zilichukua hizo hatua wakati it's TOO LATE.. I repeat, it's TOO LATE!
Iran kwa mfano, wakati China hali ni tete, viongozi wa Iran wakatamka hadharani kwamba nchi yao italindwa na Mungu bila kujali Mji Mtakatifu wa Qom una projects kibao za Wachina, na kwahiyo kuna Wachina kibao!!!
Spain nao, wakati Italy hali ni tete, Mkuu wa Tiba za Dharula, Madrid, Dr. Fernando Simon akatangaza hadharani kwamba Spain itaathirika kwa kiasi kidogo sana kwa sababu they don't even share the border with Italy!
Matokeo yake, muda wote huo watu wakaendelea kula bata huku wakijazana viwanjani kuangalia soka!
Sio tu hivi sasa Spain wameipiku hata China na Iran kwa idadi ya vifo, bali Dr. Fernando mwenyewe majuzi was relieved from duties kwa sababu na yeye amekuwa infected na COVID-19!
Hata hivyo, Maria Jose Sierra aliyechukua nafasi ya Dr. Fernando juzi ametangaza kwamba total quarantine imesaidia sana kupunguza maambukizi ya coronavirus nchini spain.
Sio kwamba maambukizi kwa ujumla yanapungua, hell no bali yanaongezeka BUT at decreasing rate in contrast at increasing rate!
Kwahiyo kwa watu wanaofuatilia hili janga nje ya bara la Afrika, watu aina yenu tunawaona walevi tu!!!
Kule Korea ya Kusini, Mwanzilishi wa Shincheonji Church of Jesus, Lee Man-hee akataka kuleta masihara kama mnayoleta nyie na Magufuli wenu mliyeapa kutetea kila anachoongea hata kama ni cha kijinga!!
Wakati China hali ni tete, Lee Man-hee akahamasisha wafuasi wake waendelee kujazana makanisani! After the first gathering, baada ya Korea Kusini kufanya COVID-19 testing, watu zaidi ya 400 wakakutwa na virus huku zaidi ya nusu ya waathirika wakiwa ni wafuasi wa Shincheonji Church!!
Hapa chini ni Lee Man-hee akiomba msamaha baada ya kusababisha janga kubwa Korea ya Kusini:-
Hata Wataalamu kutoka Italy waliokuwa wamehojiwa, wengi wanaamini wakati serikali inachukua hatua, it's already too late! Kwa mfano, mtu wa kwanza kabisa kuwa tested positive, huyu alijipeleka mwenyewe hospitali ikiwa na maana hadi wakati huo hapakuwa na mkakati wowote wa kudhibiti ugonjwa!
The question is, huyu mtu ambae alikuwa amekutana mara kwa mara na mwenzake aliyekuwa ametoka China, alikuwa amekutana na watu wangapi kabla hajajipeleka mwenyewe hospital, na huyo mwenzake alikuwa amekutana na watu wangapi ukitoa huyu ambae ni first confirmed case!
Ni kutokana na ukweli huo, ndio maana haikushangaza less than 24 hours later, watu wengine 16 wakagundulika kuwa na virus, na miongoni mwao, kulikuwa na madaktari na manesi 5, na watu wengine watatu waliokuwa wameenda kumwangalia yule mtu ambae aligunduliwa kama mtu wa kwanza!
Ukiangalia hayo, utaona wazi kwamba, sio tu watu wa kawaida bali hata health workers walikuwa bado hawachukui tahadhali!!
Na hata serikali ilipoanza kuchuka hatua, walianza kama Tz... walioathrika ndio walipigwa quarantine ingawaje tayari na wao walikuwa wameshaambukiza mwingine!
Mifano ipo mingi lakini itoshe tu kusema siasa zisiwafanye muwe vipofu! Kwamba hata waliofanya lockdown haikuwasadia ni uongo usio na maana yoyote... haikuwasaidia sio kwa sababu haisaidii bali haikusaidia kwa sababu walichukua serious measures when it's too late!
Donald Trump kwa mfano! NI mara ngapi alikuwa akisikia kufanya masihara hadi kufikia kuita ni Chinesevirus, mara Wuhanvirus, mara aite Foreignvirus?! Ni Trump huyo huyo ambae back in January alitangaza kwamba US imei-contain coronavirus na kwamba kulikuwa na mgonjwa mmoja tu, tena from China!!
Akaendelea kuleta mzaha kiasi cha kutangaza chloroquine inatibu COVID-19!!!
In short, kote Ulaya na America walichelewa kuchukua hatua! Trump alizuia ndege kutoka Europe takribani wiki 2 tu zilizopita!! Je, hali ya maambukizi 2 weeks ago ilikuwaje Europe?!
Leo hii quarantine isiposaidia US utasema quarantine ni ineffective au serikali ya Trump haikuwa serious hadi ilipokuwa too late?!