Abdalah Abdulrahman
JF-Expert Member
- Aug 29, 2019
- 222
- 201
- Thread starter
- #41
Hivi kama muungwana,unashindwaje kusema maamuzi ya Raisi Magufuli ni ya akili kubwa?.Huku ni Ku appreciate alichotufanyia watanzania.Haishii kwenye maamuzi na mandalizi ni makubwa piaWiki moja iliyopita Rais Trump alikuwa na mtazamo kama wa JPM na hakutaka kabisa lockdown iliyokuwa imewekwa katika baadhi ya majimbo iendelee. Hovyo akatangaza nia yake ya kusitisha hiyo lockdown. Hapo ndipo wataalam wake wakampa ukweli kuwa hali ni mbaya na wamarekani si chini ya 100,000 watakufa kutokana na corona. Ndipo Trump akasema "Nothing can be worse than declaring victory before victory is won", yaani hakuna kitu kibaya kama kutangaza ushindi kabla ya ushindi haujapatikana.
Kumbukeni pia ya kwamba kisa cha kwanza huko USA kilitangazwa January 20, na baada ya hapi vifo viliongezeka kwa kasi ndogo sana hadi March 16 ndipo hali ikabadilika. Sisi Tanzania kisa cha kwanza kilitangazwa March 16 na mpaka sasa hali haijawa ya kutisha. Hali hii isitufanye tuamini kwamba tayari tumeshinda vita. Muda ndo utaamua. Kwa sasa tujiepusha na kusifia!