Abdalah Abdulrahman
JF-Expert Member
- Aug 29, 2019
- 222
- 201
- Thread starter
- #21
Pascal Mayalla,
Pascal Mayala..Kanuni za kimaumbile zinasema ukikaa na njaa zaidi ya sikukuu kadhaa utakufa,haijslishi wewe ni mchamungu kiasi gani na unamuomba Mungu kiasi gani,hivyo Raisi wetu,
sio tu anamtegemea Mungu akaacha kufanya jitihada za kumwonesha Mungu kuwa anahitaji msaada wake..anafanya jitihada hizo za kitaalamu na Watanzania wote pamoja na wale waliotaka kutumia janga hili kuwaangamiza Watanzania wanamuelewa
Pascal Mayala..Kanuni za kimaumbile zinasema ukikaa na njaa zaidi ya sikukuu kadhaa utakufa,haijslishi wewe ni mchamungu kiasi gani na unamuomba Mungu kiasi gani,hivyo Raisi wetu,
sio tu anamtegemea Mungu akaacha kufanya jitihada za kumwonesha Mungu kuwa anahitaji msaada wake..anafanya jitihada hizo za kitaalamu na Watanzania wote pamoja na wale waliotaka kutumia janga hili kuwaangamiza Watanzania wanamuelewa