Serikali ya nchi ya chitchat



Mmmmmhh! Wizara zote hizo! Haikubaliki hata kidogo Mungi
 
Last edited by a moderator:
Ana mme cacico? Kuanzia lini?

Acha umbea wewe mwanaume khaaaaa!!!!!!!!!!
Watu tuna Ring zetu za Tanzanite na Gold vidoleni.
Na kwa taarifa yako,kama ulikuwa na mpango wa kumnyatia umenoa Bishanga.
Utajijuuuuu......!!!!!!!!!!!!!!

Na kama ulikuwa Hujui ni kwamba TUNAKUANDALIA MSUTO MWINGINE Wewe na Baba V,
Mwaka Huu mpaka muhame Jiji.
 
Last edited by a moderator:
Kwa taarifa yako hawara yangu wa buguruni malapa anayeitwa bi kidawa jana kanizalia mtoto,tumemwita Havintishi....mi iko itwa baba havintishi,gotcha?
 
Last edited by a moderator:
Kwa taarifa yako hawara yangu wa buguruni malapa anayeitwa bi kidawa jana kanizalia mtoto,tumemwita Havintishi....mi iko itwa baba havintishi,gotcha?

Havintishi?????
Hilo jina au aina ya Burudani.
Utajijuuuuuuu
 
nataka tu nijue wapi ikulu...kuna maandamano nataka niyafikishe hapo

mi nakusaidia kuandaa vitu vizito na vyenye ncha kali.... manake Mungi anaonekana kaunda serikali ya chumbani siyo ya nchi
 

mama ndo mpanga bajet sa washangaa nin hata ukiacha buku utakuta kuku chezeiya kisa cha mpemba
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…