rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,439
Waziri wa elimu ameulizwa swali ni kwanini walimu wanadai hawajashirikishwa suala la elimu bure anapaniki.Jamani hawa watu wanajua wanachokifanya?
Suala la elimu bure ni mchakato unaotakiwa kujengewa msingi imara na ikiwezekana lipelekwe bungeni kutungiwa sheria,sasa pesa zinazotakiwa ni b30 lakini zimepelekwa b11.
Halafu kama ni kweli waalimu wanalalamika hawajashirikishwa, je hatuoni kama kuna tatizo hapa?
Nchi haiwezi kuedeshwa kienyeji au kibabe au kwa amri amri,suala la elimu bure ambalo ni Sera ya CHADEMA linahitaji kufanyiwa kazi na wadau wote wakiwemo walimu wahusishwe,huyu rais anaweza kutupeleka shimoni.
Suala la elimu bure ni mchakato unaotakiwa kujengewa msingi imara na ikiwezekana lipelekwe bungeni kutungiwa sheria,sasa pesa zinazotakiwa ni b30 lakini zimepelekwa b11.
Halafu kama ni kweli waalimu wanalalamika hawajashirikishwa, je hatuoni kama kuna tatizo hapa?
Nchi haiwezi kuedeshwa kienyeji au kibabe au kwa amri amri,suala la elimu bure ambalo ni Sera ya CHADEMA linahitaji kufanyiwa kazi na wadau wote wakiwemo walimu wahusishwe,huyu rais anaweza kutupeleka shimoni.