Ngalikivembu
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,959
- 872
Wale wanaoitwa wataalam wa hali ya hewa hapa nchini wana elimu ya kubaitisha.Habari nilizozipata kutoka kwa rafiki yangu mmoja aliyeko huko anasema watu wengi wanaoingia huko Kigoma kilipo chuo chao hawana sifa kabisa ila nikwa sababu ni chuo kinachomilikiwa na serikali kupitia Mamlaka ya Hali ya hewa.Kwanza hakijasajiliwa.Na wengi wao wanapomaliza pale hawapewi vyeti kuonyesha wamefaulu kwa kiwango gani.
Nimekiona cheti cha jamaa yangu,kipo kama chei cha kliniki hivi.Ameambiwa tu kuwa amefaulu bila kuonyesha amefaulu kiwango gani.Taarifa zinasema kuwa pale chuoni hakuna anayfeli mtihani.Kwa maoni yangu naona chuo hicho kisimamishwe kutoa elimu ya aina hiyo.Wako wapi NACTE?Mbona hawa jamaa ni wakali kwenye vyuo vya binafsi visivyo sajiliwa?
Hivi sasa wametoa majina mengine ya kozi endelezi,wao wanaita class 2 course.
Nimekiona cheti cha jamaa yangu,kipo kama chei cha kliniki hivi.Ameambiwa tu kuwa amefaulu bila kuonyesha amefaulu kiwango gani.Taarifa zinasema kuwa pale chuoni hakuna anayfeli mtihani.Kwa maoni yangu naona chuo hicho kisimamishwe kutoa elimu ya aina hiyo.Wako wapi NACTE?Mbona hawa jamaa ni wakali kwenye vyuo vya binafsi visivyo sajiliwa?
Hivi sasa wametoa majina mengine ya kozi endelezi,wao wanaita class 2 course.