Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,316
- 7,734
JF inarudisha nyuma maendeleo ya nchi, nguvu kazi kubwa ya nchi inapotea kwa watu kushinda wanablog humu. Malaria Sugu, Ritz, Rejao, Omr, topical, Faiza foxy wanashinda kutwa kucha kublog humu ndani je kazi wanafanya saa ngapi?
Subutuuuu, all the above wana payroll yao kwa kazi hiyo, shauri yako..!