kiwalanikwagude
Member
- Jun 8, 2011
- 52
- 19
Kama ulidhani unachokisoma vitabuni kuhusu Mwanamapinduzi Martin Luther King Jr kilitokea hapa tu nchini Marekani basi ujue unajidanganya tena sana, hebu mwone huyo Mtetezi wa wanyonge hapo juu, mwangalie vizuri tu, si mwingine bali ni Gobless Lema.
Huyu ndiye Lema anayemfanya JK akose usingizi naam! ni Gobless Lema jabali linaloitikisa serikali ya JK na CCM.