Sioni matumaini yeyote yaani mtu anafanya makosa mwenyewe halafu anajihukumu mwenyewe tena kwa maneno matupu bila hatua, inashangaza waziri anazungumza watu kuiba nguzo,tenda za mataili wengine kupokea rushwa hataji hata mtu mmoja wala kumpeleka kwenye vyombo vya sheria huu ni wimbo ule ule wa miaka nenda kenda kufichiana siri na kulindana huyu waziri ni mpuuzi kama wapuuzi wengine walioongoza wizara hiyo