Serikali ya CCM yazidi kumwandama Mbowe!

Greenwhich

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
1,337
Reaction score
968
Katika kile kinachoonekana kumweka bussy Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe tayari kesi iliyofunguliwa miaka minne huko nyuma imefufuliwa.

Kesi hiyo iliyoratibiwa na CCM alifunguliwa Mbowe kipindi cha uchaguzi mkuu uliopita kwa madai kwamba alimshambulia msimamizi wa Uchaguzi huko HAI.

Hapo jana kesi hiyo iliibuka na Hakimu akasoma kile kilichosemwa ni hukumu ya awali kwa kusema kwamba Mbowe ana kesi ya Kujibu na anapaswa kujitetea.

Ikumbukwe kwa sasa Mbowe mbali ya kuwa Mwenyekiti wa Chadema ndiye Mwenyekiti pia wa Ukawa na ndiye kinara wa mapambano ya Katiba ya wananchi.

=================================


Chanzo: Mwananchi
 
Mbowe asijali kwani anazo kesi kibao.Hii moja haitamfanya kushindwa kutekeleza majukumu ya ukawa
pamoja na kumuongezea umaarufu kwa sababu atashinda kesi hiyo pia ndivyo ccm wanavyozidi kujivua ngozi na wanachi wa kada ya chini wanazidi kuufahamu mzimu wao unaowala taratibu ingawa miaka ya hivi karibuni wamepongeza kasi
 
pamoja na kumuongezea umaarufu kwa sababu atashinda kesi hiyo pia ndivyo ccm wanavyozidi kujivua ngozi na wanachi wa kada ya chini wanazidi kuufahamu mzimu wao unaowala taratibu ingawa miaka ya hivi karibuni wamepongeza kasi
Bawacha wote mnapotoshana kila kukicha nani kakwambia kuwa mbowe ni marufu kwenye nchi hii,kwa tarifa yako umarufu wa mbowe pengine upo kwenye uharifu na uendeshaji wa disco za usiku.
 
Bawacha wote mnapotoshana kila kukicha nani kakwambia kuwa mbowe ni marufu kwenye nchi hii,kwa tarifa yako umarufu wa mbowe pengine upo kwenye uharifu na uendeshaji wa disco za usiku.
sibishani na haja kubwa mimi! na wala sijashikiwa akili kama wewe unapanukwa tu
 
Mbowe alimpiga vibao wakala wake kwa kuhisi kuwa anapanga kumsaliti.
 
Kwa hiyo kama kweli alimshambulia mlitaka asishitakiwe? Tena aliyemshambulia ni mwanamke!
 
Hata baada ya uchaguzi wa 2015 kesi nyingi sana zitaanza kusikilizwa.
 
sheria ni msumeno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…