Mkuu unakumbuka kwamba mbowe huyu aliwahi kuiba benki kuu akiwa karani wa benki hiyo.
Akili ya viongozi wa ccm ni ndogo sana,serikali hii ya ccm ina polisi,usalama wa Taifa,kitengo cha rushwa,jeshi la wananchi,waendeaha mashitaka,
Serikali hii ina sheria za benki,za kijamii sasa basi
1. Kama unasema Mbowe aliwahi kuiba ,na ushahidi ukawepo pale benki ,vyombo vya usalama vilikuwa wapi kumtia hatiani?
2. Huoni kwamba ,unawadhihirishia watanzania kuwa hatuna serikali inayozingatia utawala bora?, kama fedha zibaibiwa,harafu serikali ibaki kutaja tu huyu alifanya hivi,huyu alifanza vile,huoni ni serikali ya musukule?
3. Je,huoni kuwa kama unajua,na vyombo vya serikali yako vunajua kuwa mbowe aliiba fedha benki na ameachwa tu huoni kuwa ni serikali iliyopoteza uhalali wake,huoni ndio maana uchaguzi ukianza unasikia mara Salm Ahmed Salm si raia,bashe msimali,jussa mhindi,jenerali ulimwengu mnyarwanda na wanapewa madaraka huku vyombo vya usalama vikikaa kimya kuashiria kwamba chama hiki hakifai kuongoza nchi ,kuna siku kitampa mzaliwa wa itali kuwa rais,na siku akikosoa ataitwa muitaliano?
Jifunzeni kufikiri,na usiendelee kuliabisha jeshi kwa siasa mfilisi