Ugumu wa maisha ni jambo moja na kujiuza ni jambo jingine. Hizo hela hazitoshi kwa wanawake pekee yao? Wanaume wanafanyeje au nao wanajiuza?Wakuu hili la 7,500 msilitetee coz wanafunzi wanateseka mno vyuo vikuu,kwa mfano kwasasa....,Hapa MUCE hali ni mbaya hasa kwa dada zetu,kujiuza kwa wadada nilikuwa nasikia tu lkn sahv nashudia..NAUMIA SANA,TENA SANA..