Serikali ya CCM,MSIWADHARAU WANAFUNZI WA VYUO VIKUU.

Wakuu hili la 7,500 msilitetee coz wanafunzi wanateseka mno vyuo vikuu,kwa mfano kwasasa....,Hapa MUCE hali ni mbaya hasa kwa dada zetu,kujiuza kwa wadada nilikuwa nasikia tu lkn sahv nashudia..NAUMIA SANA,TENA SANA..
Ugumu wa maisha ni jambo moja na kujiuza ni jambo jingine. Hizo hela hazitoshi kwa wanawake pekee yao? Wanaume wanafanyeje au nao wanajiuza?
 
Tatizo lenu vijana mataka ukifika chuo uoe, umiliki music system na anasa kibao, sisi tulisoma na 2500 na wala sio mda mrefu sana imeongezwa ikawa hiyo
mnayopewa leo, lakini hamridhiki

Naomba usiwadanganye hao vijana. Mimi nilisoma enzi zako na kupata 2500 ila thamani yake ilikua kubwa kuliko 7500 ya sasa. Purchasing power ya shs imeshuka kwa 29% from 2010 to 2013. Zamani madini yalikua hayajachimbwa wala gass, kwa sasa vyote hivi vinafanyika. JK anaenda nje 30% ya muda wake wa urais(10yrs), ufisadi,na mashangingi kibao (shangingi V8 moja unalipa wanafunzi 40,000 posho ya siku), vikao vingi bila tija na allowance kibao... Hii nchi imelaaniwa. Bila kuifanyia overwhole tumekwisha na wajukuu zetu wote.
 
Haya mambo yanataka Policy and Institutional Analysis ambayo ni beyond ya mada yako. Ila fahamu tu kwamba Nchi yako ni miongoni mwa nchi masikini sana. This is the fact

Nchi yetu sio maskini hata kidogo! viongozi wetu hawa maccm ndio maskini wa mawazo.nchi ina raslimali kibao ambazo huishia kwa mafisadi wachache wa ccm huku akina sixgate,marcopolo,taswira na wapuuzi wachache wakijiona wajanja kwa hayo makombo wanayopata!
 
Sawa japo ni ndogo but na hao vijana wa chuo wajaribu kujibana kwa sbb wanatambua familia watokazo n maskin sana+nchi yenyewe. Pia ongezeko la wanafunzi ni changamoto kubwa sana na binafsi kwa kiasi fulani gvt inajitahidi

mbona wabunge milioni zaidi ya 7 plus kwa mwezi hawajibani na bado wanasema ndogo hapo hujaweka hela ya mafuta
 
Kimsingi Taifa lenye vijana wasomi ambao wanaichukia serikali yao kutokana na mapungufu ya serikali hiyo ndio Taifa hai zaidi kwasababu wao wanatarajiwa kuja na mbinu mbadala bora zaid ya ile ya Serikali. Kosa la elimu ya kiafrika ni lilelile, kutilia mkazo academic side na kupuuzia vocational training. Hata katika huu mkopo, sidhani kama wanafunzi hao wachache wanaosoma vocational training colleges wanapata. Tukiwa na vijana wengi wenye elimu ya academics inayoizidi ile ya ufundi itakuwa tunatengeneza taifa la walalamikaji na wapiga porojo tu ambao wanadhani kupitia wanasiasa wanaweza kutimiza mahitaji yao. This is very wrong. Ni sababu hii iliyoleta mapinduzi Libya, Egypt, na maeneo mengineyo yenye migogoro inayofanana na baada ya kufanya hivyo wanakuja kubaini kwamba waliowaingiza serikalini kumbe pia hawatatimza mahitaji yao. Kitakachoendelea kwa taifa hilo "total destabilization"

..nakubaliana na mtizamo wako.

..lakini sina uhakika ni nani wa kurekebisha hizo kasoro ulizozitaja.
 
Hakika,ccm 2015 kuna utata,takwimu zinaonesha asilimia kubwa ya wanafunzi wa vyuo vikuu ni wanachama wa CDM,HILI LIMESABABISHWA NA SERIKALI YA YENYE UCHU WA KUTAWALA HATA KWA UTEKAJI NYARA....LAKINI HAIWAJALI WASOMI WA VYUO VIKUU.Tsh 7,500 per day ni hela ndogo sana.

Sent via Huawei Y300.

CCM watavuna walichokipanda wamezoea kuwanyanyasa wataalamu. Hata hivyo slogan ya CCM ni kuwaburuza wajanja na wasomi wachache kwa ridhaa ya wajinga wengi sasa mambo yamekuwa magumu wanahaha kitu gani?

Je kidonda walichokilea tangu 2005 wataweza kukitibu kwa mwaka mmoja?
 
Wakuu hili la 7,500 msilitetee coz wanafunzi wanateseka mno vyuo vikuu,kwa mfano kwasasa....,Hapa MUCE hali ni mbaya hasa kwa dada zetu,kujiuza kwa wadada nilikuwa nasikia tu lkn sahv nashudia..NAUMIA SANA,TENA SANA..
Kama huwezi kuishi kwa tsh 7500 kwa siku basi wewe shule hujaenda kusoma utakuwa umeenda kufuata anasa. Elfu saba mia tano. Sema shida wanafunzi wanajibebesha mizigo isiyokuwa yao nawajuwa sana wanafunzi.
 
Back
Top Bottom