Maseto
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,020
- 679
naamini wewe si msomi.ungekuwa msomi ungeainisha uwezo wa serikali na wapi inakwama kihalali.serikali ya tanzania ina uwezo hata wa kuwapa wanachuo wote hata zaidi yaNi kweli 7500 ni ndogo, lakini thamani ya kitu usiangalie kwa mwenye kitu, iangalie iwapo hiyo 7500 isingekuwepo kungelitokea nini. Ndugu yangu fungua fikara zako. Elimu ya vijana wetu ni jukumu la ubia kati ya Serikali na wazazi. Naamini Serikali inatambua kiwango cha 7500 kwamba ni kidogo. Lakini kwa upande mwingine hebu angalia ongezeko la Taasisi za elimu ya juu na wanafunzi katika kipindi cha 2005 mpaka sasa. Ni Muda mrefu Tanzania tulikuwa na UDSM, Mzumbe SUA; ukikosa huko uende TIA, IFM, CBE na IAA. Hebu leo fanya mahesabu yako tuna vyuo vikuu vingapi? Ni mtizamo tu.
elfu 20 kwa siku.