New Nytemare
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 3,310
- 2,425
Mkuu syo panya sema MAPANYA BUKUMtu yeyote ambae ametokana na ukoo wa panya, CCM..
Hafai tena kuongoza Nchi hii.
Amwachie hata sasa.Kwa mtazamo wangu mimi binafsi mungu atujaaliw uhai awamu ijayo serikali yangu impendekeze waziri mkuu wetu awe Rais
Mafiga matatu ndio yenye kuivisha chakula..ingekua vyema kijana wake Mzee wetu Rais wetu mh john P Magufuli akampitisha huyu ili amalizie kazi atakazo ziacha
Kwa mtazamo wangu mimi binafsi mungu atujaaliw uhai awamu ijayo serikali yangu impendekeze waziri mkuu wetu awe Rais
Mafiga matatu ndio yenye kuivisha chakula..ingekua vyema kijana wake Mzee wetu Rais wetu mh john P Magufuli akampitisha huyu ili amalizie kazi atakazo ziacha
Hawa wote mikono na mioyo yao imechafuka. Kwa sababu wameshiriki katika serikali dhalimu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijakusoma mkuuAkipewa nchi kujichubua itakuwa sheria.
Watu wote tutatakiwa tuwe weupe regardless tunaundugu na wasira au J. KapuyolSijakusoma mkuu
Majaliwa kafanya kipi cha maana mpaka sasa?Kwa mtazamo wangu mimi binafsi mungu atujaaliwa uhai awamu ijayo serikali yangu impendekeze waziri mkuu wetu awe Rais
Mafiga matatu ndio yenye kuivisha chakula..ingekua vyema kijana wake Mzee wetu Rais wetu mh John P Magufuli akampitisha huyu ili amalizie kazi atakazo ziacha.
Mkuu unaweza kuwa na msimamo binafsi mbele ya Pombe?