johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,187
- 142,329
Tanzania hatuna ukabila kama ule wa Kenya lakini tunao ukabila wa kisayansi ambao huanzia kwenye vyama vya siasa na mfano mzuri ni chama Kikuu cha Upinzani.
Kwa mfano nimefanya tathmini ya Awamu none kuanzia ya hayati mwalimu Nyerere hadi ya mzee Kikwete na kugundua ni Kikwete tu ndio hakukumbatia undugu.
Mungu wa mbinguni ambariki JK kwenye usimamizi wa Uchaguzi nchini Kenya
Kwa mfano nimefanya tathmini ya Awamu none kuanzia ya hayati mwalimu Nyerere hadi ya mzee Kikwete na kugundua ni Kikwete tu ndio hakukumbatia undugu.
Mungu wa mbinguni ambariki JK kwenye usimamizi wa Uchaguzi nchini Kenya