Serikali wakaechini kutatua matatizo na waislam

mbona nawe pia unayejiita GT unalalama tu as if unaandamana?, matatizo no yepi?: kukosa elimu?, mumepungukiwa wake wa kuoa?, mmekosa watu wa kuchinja?!, fanyeni kazi, acheni kutegemea misaada ya waarab, itamaliza vizazi vyenu.

nani anategemea misaada kati yetu?
 
WATATUE CHUKI ZENU KWA WAKRISTO????..... Hebu jaribu we mwenyewe kwanza kutoa pesa kwa ajili ya kurekebisha makanisa mliyochoma

MAANA MNATIMIZA ALIYOWSTUMA BABA YENU

hivi hayanaga bima?...just asking.
 
Slaa-silaha, nkama-kama.......na una Phd au ndo ile ya medicine?
 
Mleta mada nenda kajipange upya,
*Neno Slaa umeandika zaidi ya mara nne, sijui ulikuwa unamaanisha nini?

*Hakuna serikali yoyote duniani unayokaa kusikiliza magenge ya waleta fujo na wezi?
 
dr Who
Tafadhali kama hautajali, yaainishe hayo Madai ya waislamu na uyachambue yepi yanatakiwa kutekelezwa na serikali na yepi yanatakiwa kutekelezwa na waislamu wenyewe.

Halafu hayo yanayopaswa kutekelezwa na serikali utuoneshe kwanini ni tofauti na madai ya mtanzania mwingine (mpagani, msabato masalia, pentecoste moto moto na mkatoliki).

Nashukuru.
 
Last edited by a moderator:
We ni muongo. na huyo Dr. Who naye ni Gaidi aliyejificha. mtalalamika sana ila ukweli uko pale pale. waislamu wengi elimu DUNI. Mpo mpo tu kama POPOO NA TAAHIRA. ALSHADADIIIII.
 
Endeleeeni na madai yenu ya kihuni alafu mseme jeshi lisiingilie >>>..................twende kazi mkione cha moto.........mtapata support wapi au ndio kule ambako rais wenu kaenda hapo juzi....kumbe kaenda kuomba makundi ya kigaidi!!!!!!
 
UPUNGUANI wenu ndo ugonjwa wenu mkubwa kutwa kulalamika kama Wajawazito khaa!
 
We uwezo wako wa kufikir mdogo sana nchi hii kabla ya uhuru na baada ya uhuru til 70s wasomi wengi nchi hii walikuwa waislam zikafanyika jitihada za makusud kuwadrop ktk kila idara ili malengo ya watoa misaada iweze kufikiwa

ndugu yangu,elimu dunia ilikua inatolewa ktk shule za kikristo na chache sana za serikali,sasa hao waislamu walikua wamesoma shule zipi? maandiko yako ni ushahidi wa ujinga ambao umewajaa wengi wenu mnaofanya vurugu za kitoto mitaani.
 
Inaonekana Bro, umekata tamaa au upendi kutumia akili kutatua tatizo, kama madai ya waislam ni OIC na Kadhi Court , haya yanaweza zungumzika, naamini ni sirikali ya CCm na TLP ilkuwemo kwenye election manefesto yao, kama waliwadanganya waislam ni vizuri serikali ijieleze.

Nkama tatizo ni umaskini nadhani serikali inaweza kuinvest zaidi ktk area ambazo ziko affected- haya yote yanaweza kuzumgumzika,, nk

Nakama wanadai sirikali ni mfumo kristo, yote haya wanazungumzika- ni ni haki yetu sisi tuelewe ukweli

Sulution sio kukata tamaa, kuogopa kuongea na ku-face challenges au kutumia nguvu, bali negotiotion table ndio solution ya madai yote.

Matatizo ya msingi ya mwananchi wa Tanzania ni ujinga,maradhi,umasikini na rushwa! Kwa uelewa wangu matatizo hayo yanawaathiri Watanzania bila kujari dini zao,makabila yao na rangi yao! Mwananchi-mkristo masikini wa Mbagala hana unafuu wowote na jirani yake mwislamu! Ni akili ndogo inaweza andika upuuzi umeandika hapo juu.
 
matatizo ya Waislam ni USA Vatican Ndalichako Pengo Malasusa MAVAZI NYERERE KUAGA MAREHEMU KWAYA MAKANISA POLISI LISTI YA VIONGOZI BIBLIA JUMAPILI NEW YEAR SENSA IDADI YAO MAHAKAMA YA KADHI YENYE KUFADHILIWA NA SERIKALI nawasikia kila Ijumaa kwenye loud spika ya Mtambani
 
Hamna uwezo wa kufanya m2 ajifiche shimon njaa zinawasumbua na maisha yashawashinda we mwenyewe uckute umefugwa kwa m2
 
islamic-jihad-cover.jpg

Umechelewa wapi kutangaza?
 
Dr.Who unaufahamu msitari huu, Quran 2:191, "And kill them wherever you overtake them and expel them from wherever they have expelled you, and fitnah is worse than killing. And do not fight them at al-Masjid al- Haram until they fight you there. But if they fight you, then kill them. Such is the recompense of the disbelievers."
 
Last edited by a moderator:
Makanisa haya tumeyajenga wenyewe through kodi zetu wote na MoU na mafisadi wengine wanaotuibia na kuleta makanisani, unataka nichangie nini zaidi ya hapo ??

Hakuna mtu mwenye chuki na ukiristo bali ni vitendo vibovu ndio vinavyochukiwa na wala waislam hawana ugonvi na ukiristo kwani ugomvi wao nyie hamuuwezi, waulize wamarikani

Dr. Who, ni makanisa yepi (kwa majina if possible) yaliyojengwa kwa MOU?

Kwenye blue: Hao mafisadi huwa wanahutubia makanisani tu? Inawezekana pia wakawa wanahutubia misikitini?

Unaweza kusema BAKWATA wanapata kiasi gani nao toka serikali, na huwa wanazifanyia nini?

Mwisho, jana Ijumaa ilikuwa ni siku ya ibada (ya week) kwa waislam, na kesho Jumapili ni kwa upande wa wakristo. Sijui kwa upande wenu jana mlifanya zaidi ya ibada, but what I can tell you sisi kesho Jumapili mara baada ya ibada tuna harambee kwa ajili ya kujenga Hall - ili tuwe tunakodisha na kujipatia kipato cha kuendeleza parokia yetu. Na huu ni mradi wa mwaka huu tu peke yake, tayari tuna nursery school. Hapo ni ngazi ya parokia tu, tena parokia changa.

Sipingi hoja yako kwamba waislam wana changamoto za maisha. Ila jambo ambalo linanikera ni tabia ya watu wazima kulea watoto na mawazo ya kutosimama kwa miguu yao wenyewe! Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Waislam wana changomoto kama ambavyo iko kwa wakristo, na hata wale wasio na dini. Mtu kama mzee Sabodo amepiga hatua kwa sababu ya nguvu zake na sio vya bure. Kwanini tusijifunze toka kwake?

Viongozi dini (zote) ni vema wakaanza kuwaambia waamini wao ukweli, vya bure vyaua!
 
We uwezo wako wa kufikir mdogo sana nchi hii kabla ya uhuru na baada ya uhuru til 70s wasomi wengi nchi hii walikuwa waislam zikafanyika jitihada za makusud kuwadrop ktk kila idara ili malengo ya watoa misaada iweze kufikiwa
Chuki ya Waislamu dhidi ya Wakatoloki haito kwisha.mfano leo hii nimetoka TUMAINI UNIVERCITY KCMC Mtoto wa sista amefaulu vizuri na mkopo kapewa.Cha ajabu wenzake waliokuwa shule mmoja woote ni waktristo na hawajafaulu kama yy na mikopo baadhi yao hawana lakini wamepewa nafac.YEYE mara ya kwanza jina lilitoka cha ajabu leo wanatuambia nafasi zimejaa kwa hiyo anatakiwa arudi mwakani.KAMA SIO MFUMO KRISTU NINI? HALAFU MNASEMA HATUTAKI KUSOMA TUNAKALIA MADRASA TU.Tutawachinja tu hiyo ndio solution.
 
Back
Top Bottom