P J O
JF-Expert Member
- May 3, 2024
- 241
- 315
Kwa Hali ya shilingi yetu Kwa sasa ni mbovu na mikakati dhabiti inahitajika kukumaza fedha yetu. Moja ya maono ya JPM ilikua kuwezesha viwanda vya ndani kupitia kuwanyanyua wazalishaji wadogo na kutengeneza mazingira rafiki ya uwekezaji Kwa viwanda vikubwa.
Sabuni hata ghetto inatengenezwa, siku tukikosa sabuni za India na Dubai, akili itatukaa kichwani. Serikali ifungue baadhi ya importation ya BIDHAA kama mafuta ya kula, toothpick, acha tutumie kamba akili zitukae kichwani.
Sabuni hata ghetto inatengenezwa, siku tukikosa sabuni za India na Dubai, akili itatukaa kichwani. Serikali ifungue baadhi ya importation ya BIDHAA kama mafuta ya kula, toothpick, acha tutumie kamba akili zitukae kichwani.