Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 11,186
- 22,819
Ni ya kinyonyaji ya kishetani. Inayoiba mali za umma kunufaisha watu wachache. Yeye mwenyewe kiongozi mwenyewe hana hili wala lile anapuyanga tu huku na kule.
kama zumbukuku ulimwengu upo huku. Watu wanachota tu fedha za maskini. Wenye mabakuli haya, wenye vijiko haya, wenye mabeseni haya, wenye masinia haya.
Chama Cha Mambuzi. Kila MBUZI ALE KWA UREFU WA KAMBA YAKE.
kama zumbukuku ulimwengu upo huku. Watu wanachota tu fedha za maskini. Wenye mabakuli haya, wenye vijiko haya, wenye mabeseni haya, wenye masinia haya.
Chama Cha Mambuzi. Kila MBUZI ALE KWA UREFU WA KAMBA YAKE.