Carlos Valderrama
JF-Expert Member
- Dec 27, 2014
- 664
- 240
Wa JF.
Watanzania kila kukicha wanazidi kukamaliwa na hawa wawekezaje huku serikali ikiwa upande wa wawekezaji.
Mabenki yanajipangia riba kubwa wanavyotaka wao lakini serikali wala haina tatizo kwenye hilo.
Sasa hivi haya makampuni ya simu yanafanya wizi mkubwa kwa wateja wake kwenye kuuza vifurushi vya Internet sasa hivi Airtel na Vodacom wanafanya wizi wa wazi 1GB unanunua Sh 5000 ya wiki lakini ndani ya siku 3 unaambiwa zimeisha.
Vodacom wao 1GB Sh 8000 ndani ya siku 3 hamna kitu.
Zamani walikuwa wanauza 1GB Sh2500 ikapanda mpaka Sh 3000 kwa wiki.
Serikali tusimamieni Watanzania tunaibiwa na haya makampuni ya simu.
Na hizo MB wanazouza hamna maelekezo ya kodi wanalipa kiasi gani TRA.
Watanzania kila kukicha wanazidi kukamaliwa na hawa wawekezaje huku serikali ikiwa upande wa wawekezaji.
Mabenki yanajipangia riba kubwa wanavyotaka wao lakini serikali wala haina tatizo kwenye hilo.
Sasa hivi haya makampuni ya simu yanafanya wizi mkubwa kwa wateja wake kwenye kuuza vifurushi vya Internet sasa hivi Airtel na Vodacom wanafanya wizi wa wazi 1GB unanunua Sh 5000 ya wiki lakini ndani ya siku 3 unaambiwa zimeisha.
Vodacom wao 1GB Sh 8000 ndani ya siku 3 hamna kitu.
Zamani walikuwa wanauza 1GB Sh2500 ikapanda mpaka Sh 3000 kwa wiki.
Serikali tusimamieni Watanzania tunaibiwa na haya makampuni ya simu.
Na hizo MB wanazouza hamna maelekezo ya kodi wanalipa kiasi gani TRA.