Arien
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 11,245
- 11,742
hahahahahaha kumbeeKijiji cha TAZARA
hahahahahaha kumbeeKijiji cha TAZARA
Haya ni maendeleo makubwa sana, sasa flyover kila kijiji. Tutakuwa kama mbinguni.
Awamu ya VI-WONDERSerikali kupitia msemaji wake, Hassan Abbas imesema imeshagawa milioni 50 kila kijiji kama ilivyoahidi kwenye kampeni za mwaka 2015
Milioni hizo 50 kila kijiji zimetolewa kupitia elimu bure na ujenzi wa fly over
Mbona hata Noah tumeshawapa kwa kugawa umeme wa rea kila kijijiSafi sana
Tanzania lazima iwe kama ulaya,
Tunasubiri na zile noah zetu
Serikali kupitia msemaji wake, Hassan Abbas imesema imeshagawa milioni 50 kila kijiji kama ilivyoahidi kwenye kampeni za mwaka 2015
Milioni hizo 50 kila kijiji zimetolewa kupitia elimu bure na ujenzi wa fly over
Jamani tuhurumiane usiku huu, umesababisha nipaliwe na hii comment kwa kicheko hadi nimetapika urojo wa bei kubwa.Mbona hata Noah tumeshawapa kwa kugawa umeme wa rea kila kijiji
Na zenyewe wameshagawa kwa kujenga reli ya umeme na kujenga bwawa la umeme la stiegler gorgekasemaje kuhusu kugawa laptop kwa kila mwalimu
ooooh!na bastola tena!
UmesemaaaHaya ni maendeleo makubwa sana, sasa flyover kila kijiji. Tutakuwa kama mbinguni.