SNAP J
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 7,096
- 8,014
Serikali kupitia msemaji wake, Hassan Abbas imesema imeshagawa milioni 50 kila kijiji kama ilivyoahidi kwenye kampeni za mwaka 2015
Milioni hizo 50 kila kijiji zimetolewa kupitia elimu bure na ujenzi wa fly over
Basi sawa