wewe haya matusi na mapovu yote ya nini?hauwezi kujibu hoja bila kutukana?
chanzo cha sukari kuhadimika ni serikali yako na chanzo cha sukari kupanda bei ni serikali yako.
serikali ingedhibiti kwanza ongezeko la bei la bei na ufufuaji wa viwanda vya sukari,kagera &mtibwa sugar hali mbaya.
serikali haiko makini na wananch wake zaidi ya kufanya maigizo tu,likitoka la sukari litakuja la mchele na likija la mchele ndio wakati wa kupiga pesa store nina gunia 900
Kuna shortage ya sukari hilo halina ubishi... Lakini kuficha sukari ukisubiri bei iende juu uuze pia kupo..Kwani unajua sukari imeadimika kwa ajili gani?
Mimi sikuweka matumaini yoyote kwa wabunge wengi wa CCM kuhusu kuisimamia serikali kikamilifu lakini hata wale ambao nilitegemea kuwa mfano kwa wabunge wa CCM kumbe ni wala rushwa wakubwa.Mkuu huko ulaya ni mbali sana, umeshaangalia bunge la Kenya wakiamua kusimamia mambo ya msingi linavyokuwa?? Sisi wabunge wanaacha kujadili mambo ya msingi wanaanza kutukanana na kususa na kutoka nje ya bunge.. Yaani mimi ndio maana hata sioni wabunge wanachofanya, wote tu wa upinzani na CCM.. Mpaka tutakapoamua kuwa serious ndiyo hii nchi itakimbia kwenye maendeleo.. Huwa naona ni bora Rais Magufuli na watendaji wake wapige kazi hawa wabunge waache waendelee kupigana vijembe huko bungeni..
Mimi sisikilizi mtu, natumia akili yangu.. Sikwenda shule kucheza au kukua..
Siwezi kukaa kusikiliza mtu, nang'amua kwa akili yangu mwenyewe.. Wewe unakaa kusikiliza nani kasema kipi, ndio maana wengi humu kila mnachoongea mnamaliza na Lissu kasema sijui Mbowe alisema yaani hamna vision kabisa..
Lowassa akiwa Waziri Mkuu alikuwa anafukuza wakandarasi na wakurugenzi tukawa tunasifia ni Mzee wa maamuzi magumu, JK alikuwa anaunda tume kuchunguza tukasema watu wanafanya makosa wanaacha kuwajibishwa wanaundiwa tume na tume inatumia kodi za wananchi.. Huyu wa sasa akifukuza mnasema anavunja sheria sasa Lowassa alivyokuwa anafukuza alikuwa havunji sheria??
Tukija kwenye sukari, wewe unaona ni sawa mtu kuweka sukari ndani akisubiri bei iwe juu ndio auze?? Naomba hili unijibu kwa akili yako usiseme Lissu au Lema kasema....
Ton 4900 X 1000 =4,900,000 kgsUngeweka hapa na matumizi ya sukari kilo moja inaweza kutumiwa na watu wangapi na kwa siku ngap? Alafu tuendelee na hoja..!
Hapa ndio umakini unapohitajikaHivi kumbe kuna sheria inamlazimisha mtu kuuza bidhaa yake?
Upungufu ni tani laki 3. Kwa mwaka sio laki moja, kwa nn hajaagiza kwanza ndo apige marufuku? Wewe unaona ni sawa watu wapate shida kwanza ndo aagize anavotaka yeye? Kumbuka hakukuwa na uhaba wa sukari kabla ya agizo lake, halafu unasema wafanyabiashara wanaleta sukari ilioharibika!!? Au unaota saa hizi!?Kuna shortage ya sukari hilo halina ubishi... Lakini kuficha sukari ukisubiri bei iende juu uuze pia kupo..
Kumbuka Magufuli alivyopiga ban ya sukari kuagizwa nje aliweka wazi kuwa kuna upungufu wa kama Tani laki moja na hizo vitatolewa vibari maalumu kuagiza.. Sasa wanachofanya hawa wafanyabiashara ni kuhaminisha tatizo sio hizo Tani laki moja bali zaidi ili wapewe order ya kuagiza sukari. Na serikali imefanya vizuri kwa wao wenyewe kuagiza na sio kuwapa wafanyabiashara ambao wanaenda kununua iliyoharibika..
Ton 4900 X 1000 =4,900,000 kgs
Tuchukulie watu 40m kati ya 50m wanakula sukari kwa siku..
4,900,000 / 40,000,000 = 0.01225 gramms kwa kila mwananchi na kwa siku moja na kesho imekwishaaaa...
hiyo ilofichwa kama imefichwa sio tatizo
Siyo yake, hakuitengeneza wala kuilima yeye. Kasome sheria ya uhujumu uchumi.Hivi kumbe kuna sheria inamlazimisha mtu kuuza bidhaa yake?
Mnyika ni smart sana.. Huwa naona huyu jamaa ni zaidi hata ya Lissu kwa kuisaidia nchi..Mimi sikuweka matumaini yoyote kwa wabunge wengi wa CCM kuhusu kuisimamia serikali kikamilifu lakini hata wale ambao nilitegemea kuwa mfano kwa wabunge wa CCM kumbe ni wala rushwa wakubwa.
Mbunge wa CCM kama Kangi Lugola nilidhani ni mzalendo kumbe nilijidanganya sana.
Nadhani Mnyika hataniangusha katika kusimamia maslahi mapana ya nchi.
Siasa za vyama kwa sasa zinakuwa ni zaidi ya maslahi ya taifa.
Nchi inakoelekea dah serikali na wafanya biashara, serikali wangetumia busara tu kupunguza vikwanzo vya kuingiza sukari nje ya nchi nadhana hata hizo stock zao zisingekuwa na faida.Wafanya biashara wana mchango mkubwa sana kuinua uchumi wa nchi wakigoma hata Sera ya kutumbua majipu itawekwa kando.
Mdogo wangu, Sheria ipo Wazi unaponunua mzigo unaotakiwa kuuzwa ndani ya nchi kwa jumla na kutoka kiwandani moja kwa moja moja lazima uiweke sokoni ili kuzuia mfumuko wa bei, na kunufaisha Serikali + upatikanaji wa bidhaa husika kwa wananchi wote.Rais Magufuli aache ubabe bhana biashara huria kwan lazma nitoe stoke yangu yote? Aboreshe viwanda vya kuzalisha sukar iwe nyng sio kuingilia biashara za watu subir serikali italipa hili km mtataifisha hiyo sukar iwe km zile samak
Mimi sisikilizi mtu, natumia akili yangu.. Sikwenda shule kucheza au kukua..
Siwezi kukaa kusikiliza mtu, nang'amua kwa akili yangu mwenyewe.. Wewe unakaa kusikiliza nani kasema kipi, ndio maana wengi humu kila mnachoongea mnamaliza na Lissu kasema sijui Mbowe alisema yaani hamna vision kabisa..
Lowassa akiwa Waziri Mkuu alikuwa anafukuza wakandarasi na wakurugenzi tukawa tunasifia ni Mzee wa maamuzi magumu, JK alikuwa anaunda tume kuchunguza tukasema watu wanafanya makosa wanaacha kuwajibishwa wanaundiwa tume na tume inatumia kodi za wananchi.. Huyu wa sasa akifukuza mnasema anavunja sheria sasa Lowassa alivyokuwa anafukuza alikuwa havunji sheria??
Tukija kwenye sukari, wewe unaona ni sawa mtu kuweka sukari ndani akisubiri bei iwe juu ndio auze?? Naomba hili unijibu kwa akili yako usiseme Lissu au Lema kasema....