Serikali: Shy-Rose hakupigana Kenya

Serikali: Shy-Rose hakupigana Kenya

Mimi hata nikishutumiwa kimakosa kuwa nimeua, nitaomba na kukataa kabisa serikali hii ya CCM kunisaidia kukanusha hayo mashitaka sababu hakuna anayeweza amini!! Mimi mwenyewe tu hata kama sikuua naweza anza kuhisi labda niliua nikasahau!!

Yani jitu kaama 6 ni lichakachuzi la kila kitu! Mimi nafikiri kweli huyo Shy land, sorry shy rose kweli alimpiga huyo dada, lasi hivyo CCM wasingekanusha.
 
Ni wapi serikali imsema alilala rumande? Mtu umeambiwa hakupigana tena kwa tamko la serikali.Sasa kama hakupigana ulitegemea serikali ya Kenya imuweke rumande?
Alielezea kuwa madai ya Kessy kupigwa yalitokana na Bhanji kugongana naye kwa bahati mbaya wakati akiwahi usafiri, akipita katikati ya wabunge wenzake,Alisema mgongano huo ulitafsiriwa na Kessy kuwa ni shambulio, ambaye alihamaki na kwa kusaidiwa na baadhi ya Wabunge wa Uganda, akaenda polisi na kumtuhumu Bhanji kwamba amemtendea kosa la jinai.

Tukiacha ushabiki hapa kwenye hii paragraphh kuna kitu cha kujifunza ila tuamini tu tamko la serikali japokuwa mara kibao matamko ya serikali yamekuwa na ukakasi ndio maana wadau hapa wanapata shida kukubali tamko la serikali
 
huyu bibi ni fedheha kwa taifa..atolewe tu huo ubunge
 
Wa tz wengi hawajui vita iliyoko kwenye hili bunge. Wengi ni ushabiki tu.
 
Back
Top Bottom