Serikali, shughulikieni akina 'Sheikh Ponda' haraka sana

Status
Not open for further replies.
Naiasa serikali ichukue haraka hatua za kudhibiti siasa kali za kidini huku bara kama ambazo tayari zimezusha vurugu Zanzibar. Sheikh Ponda na mujahidina wenzake pia wanakusudia kuleta vurugu kama za Zanzibar kwa kisingizio cha NECTA na sensa ya watu na makazi. Nimewaona leo asubuhi CHANNEL TEN katika kipindi cha baragumu ponda na mwenzie simkumbuki jina wakitoka mapovu na alot of unfounded claims.

Kwa kifupi ni watu waliokusudia kuivuruga nchi kwa udini, ninaloweza kuwaambia na nina hakika nalo haitatokea siku nchi hii ikaongozwa kidini kama anavyotaka ponda na wenzie. Tatizo lililopo NECTA kwa mujibu wa waheshimiwa hawa ni uwepo wa katibu mtendaji mkristo na mwenyekiti wa bodi mkristo, lakini waziri wa elimu na katibu mkuu wake kuwa waislamu si tatizo hata kidogo.

Dini zetu zinakuwa na maana na manufaa kwa waumini wake na taifa kwa ujumla kama zinajishughulisha na masuala ya maendeleo ya kijamii ya waumini wake. Kama dhehebu linafumbia macho masuala ya elimu na afya za wafuasi wake ni wazi litakumbwa na matatizo, mi mwislamu lakini sisiti na siogopi kuwasifia wenzetu wakristo na hasa wakatoliki kwa jinsi wanavyowekeza katika masuala ya afya na elimu kwa kujenga hospitali na shule na vyuo kadha wa kadha. Sisi tuna chuo kikuu kimoja tu na si cha kujenga wenyewe bali kupewa bure na serikali wenzetu wamejenga wenyewe vyuo takribani kumi, ni vipi tunataka tufanane na watu kama hao? Angalia uendeshaji wa shule zao mfano Kifungilo, marian, St Francis hivi kweli unaweza linganisha na uendeshaji wa Kinondoni muslim, haramain au jumuiya? Waislamu wenzangu tunaokitakia mema kizazi chetu tupeleke wanetu kwenye shule za kweli zenye walimu,vifaa na usimamizi wa kutosha bila kujali wamiliki wake ni wa ibada gani.

Tuwaandalie wanetu mazingira mazuri ya ushindani hapo baadaye kwa kuwapa elimu bora. Mwenzie Ponda anadai eti hospitali za kikristu zinabagua, katoa mfano wa KCMC kuwa mgonjwa ukifika unaaulizwa unatoka usharika gani, uongo wa mwaka huu. Mzee wangu kalazwa zaidi ya mara tatu hospitali hiyo na kupatiwa huduma nzuri sana za upasuaji wa kibofu na hata mara moja hakuwahi kuulizwa dini yake.

Mtu anayejiita kiongozi wa kidini kutoa madai ya uongo kama haya anajifedhehesha binafsi ambalo si jambo baya sana bali anafedhehesha dhehebu analojidai kulipigania.

tatizo lipo NECTA...kila mwaka kuna kufuta matokeo..nani kachukuliwa hatuwa? nani kawajibika? kwanini wasi juuzulu?kwa nini kimya cha vyombo vya habari kuhusu hili? kwa ufupi kuna zengwe ndani ya NECTA..sasa kama ni uchunguzi si ufanywe tu ? kuna big deal gani?
wao wanahisi kuna namna..ni wajib wa NECTA itoke safi wajibu ni kwa vipi kuna wana funzi kweli wlibadilishiwa alama zao baada ya kuu apeal?
ni madai ya halaali yanayopaswa kuchukuliwa kwa uzito....
kuna ushahidi wa kutosha ya kwamba shule ya Millenium ya Kikatoliki ambao walitokea wa 2 kwenye mitihani iliyopita waliweka text books chooni na wanafunzi wakienda ku copy na kuwapa wanafunzi wenzao...jawabu zao wote zina fanana lakini NECTA hawakuthubutu kuumudhi Pengo...walifaulu wote!!!! lakini nawajua ambao wamefaulu lakini hamna kitu kichwani..na katika shule hiii msimamizi wa mitihani alikua na mimba na alikua akilala tu ....kama mtu anabisha kutoka hiyo shule aje hapa nitoe ushahidi
sasa madai haya ya kina ponda ni ya kweli kwa minajali hii sasa kufanya uchunguzi huru ni jambo la kawaida sio issue...lakini kukataa ni kuhalalisha yanayosemwa na ndio mwanzo wa vurugu
kwa nini watu wanao gopa vivuli?
 
Tunakokwenda sasa ni kubaya. Tatizo hawa wenzetu wamekuwa walalamikaji na si watendaji. Wakati wenzao wakristu wanapanga Mipango inayopangika na kuitekeleza kikamilifu, tena kimya kimya bila kujitangaza kwenye vyombo vya habari, wao wanakazana kupiga fitna na majungu kwenye media, kwamba wanaonewa sana kuliko wote dunia nzima. Badilikeni, fanyeni kazi kwa juhudi. Eboo!

Tafadhali soma kipande hiki kutoka kitabu cha Prof. Hamza Mustafa Njozi, "Mwembechai Killings..."

"In 1987 the then Minister for Education and Culture the late Professor Kighoma Malima discovered that deserving Muslim candidates were deliberately being denied access to secondary education.(It is curious to note that throughout his 25 - year rule, Nyerere had always appointed a Christian to head the Ministry of Education and a Muslim to head the Ministry of Home Affairs.)

The trick used by the Christian dominated panel was to select the candidates after decoding their examination numbers. Professor Malima directed the panel to select and announce the results using examination numbers only. In that year the percentage of selected Muslim candidates rose by 40 per cent! He alerted the president about the matter and suggested a thorough investigation be carried out. He was branded “Mujahidina” and removed from that portfolio and the selection panel reverted to its old system. He repeated those charges at a public rally in Dar es Salaam in 1995. Any government which is “fiercely secular” would certainly wish to know the truth of the matter.

Apparently there was no need for the government to investigate the obvious. On July 7, 1999 Muslim leaders paid a courtesy call to President Mkapa at the State House in Dar es Salaam. In the course of their informal discussions Muslims raised the issue of decoding examination numbers. According to my informant the president was clearly surprised. When he asked his Minister for Education and Culture who also attended the talks, the minister confirmed the Muslims’ account. As a result one of the numerous but supposed “isolated” cases came to light in January 1999.

A Muslim candidate one Adam Ramadhani Kindenge of Gilman Rutihinda primary school was not selected. His father disputed the fairness of the selection process and demanded to be shown the scripts. It was an embarrassing case. Christian candidates with lower points were selected and Adam who had higher points was left out. No one in the ministry could hazard an explanation. The case was disconcerting in view of Kitwana Kondo’s question in Parliament. But it was a case which like others in the past the ministry managed to suppress. For details see Ramadhani Kindenge’s two letters to the Ministry of Education and Culture (1999).

Despite protests from Muslims, the same ministry had also successfully managed to hide from many unsuspecting Tanzanians another discomfiting letter bearing Ref. No. E10/MMC-1/183 of 9 June, 1998 from the Morogoro Municipal Education Officer directing all Headteachers to submit to that office the names of all Standard Seven Catholic students! When a weekly Muslim newspaper An-Nuur confronted the ministry with that letter the spokesperson was too embarrassed to comment. He promised however to investigate the matter. A time-tested device of dropping a hot potato!

Adam Kindenge’s case above is not an isolated one. Muslims have a long list of such cases. The name of a selected Muslim candidate, Kopa Abdallah of Kichangani primary school, in Kilosa was in 1983 unfairly cancelled out in favour of a Christian, Mr. Anthony Samirani who scored less points. Mr. Kopa is today employed as a driver. Was it merely a case of corruption? In his long career as a Secondary School Headmaster and later as a high ranking civil servant, Mr. Bori Lilla was twice confronted with incredible discoveries of religious discrimination in the country. Mr. Bori Lilla is today one of the highly respected Muslim elders in the country and is affectionately referred to as “Mzee Lilla”.

He told me and he has repeated this account to many others that he was once in the marking and selection committee and was mistaken for a Christian. After marking the scripts he decoded and recorded the names according to their pass marks, and there were as many Muslims as there were Christians. A fellow panelist who was a Christian saw the list and was very furious, he said in a loud voice, “Wewe huoni kama orodha yako ina Waislamu wengi sana, au wewe ni mgeni nini hapa?” (Don’t you see that your list has so many Muslims, or could it be that you are a new comer here?). Mzee Lilla says that he responded in an equally loud voice, “Mimi siyo mgeni, mimi ni Muislamu”. The room was gripped with an eerie silence.

Mzee Lilla witnessed the second revelation of deliberate religious discrimination when he was in the selection panel for allocating High School places for deserving Ordinary Level candidates. It was during the Islamic holy month of Ramadhan and they had almost finished their task when Christian panelists broke for lunch. The panel had only two Muslims who stayed behind. The other Muslim panelist, Mr. Abdulrahman Mwalongo, was writing something and needed a ruler which was in the Chairperson’s draw.

When he opened it he found along with the ruler, a list of 25 First class Muslim candidates who had not yet been allocated any place in High Schools while all their Christian counterparts had already been placed. And the panel’s chairperson who was also a Reverend had not even hinted that there was such a list. Mwalongo is from the Hehe ethnic group. And the Hehe are known in Tanzania as fierce warriors. When their colleagues returned, Mwalongo reminded the chairperson about the list in his draw. He brushed aside Mwalongo’s concern saying that those candidates would be taken care of later.

Quite unexpectedly,Mwalongo banged his table so forcefully that all members were taken aback. Shaking with rage Mwalongo told the chairperson no business would take place in that room before the allocation of the 25 Muslim students. The chairperson backed down and those students were placed. In July 1997 I cross-checked Mzee Lilla’s account with Mwalongo himself. He confirmed the story. As I am writing this book, both of them are still alive and can easily be contacted for further details."

Baada ya kuonekana ukweli huu katika kitabu serikali ya Benjamin Mkapa ilikipiga marufuku.
 
Ingekuwa na uzito kama ingekuwa imeandikwa na neutral person. Kuwa profesa siyo uthibitisho wa kuaminika. Maana katika hali ya kawaida ina maana Mwalimu angekuwa mpumbavu kiasi kwenye mkutano aliowaalika na waislam aelezee mikakati yake ya kuupendela ukatoliki? Haiingii akilini, nadhani huyu ni kati ya maprofesa ambao ni brain washed hana tofauti na wale madokta wa Al Qaeda, ambao badla ya kutibu watu wanafanya kazi ya kuua watu, kuua hata waislam wenzao.

Nani "neutral"?

Bergen sio "mtu wa katikati" ushamsoma anasema kitu gani kati "Religion and Development...?"
Au ushamsoma John Sivalon anasema nini katika "Kanisa Katoliki na Siasa Tanzania Bara...?"

Ikiwa hujavisoma vitafute ni rejea nzuri sana ya kupanua ubongo wa msomi yeyote yule.

Siasa za Al Qaeda haya matatizo yanayoikabili nchi yetu ni vitu tofauti sana tena kwa mbali mno.
Jitulize soma na andika katika hali ya utulivu utanogesha sana mjadala.

Vinginevyo utawachosha wasomaji wako mapema sana.
 
Nilishangaa sana pale walipokuwa wanalalamikia uteuzi wa wakuu wa wilaya. Sijui ukristu unaingiaje hapo wakati mteuzi ni muislamu.
 
kukosa elimu kwa waislamu kumesababisha wawe na malalamiko ya hovyo kabisa
wewe naona mshamba kabisa...tembea nchi zenye waislam utaona watu waliosoma..utaona nchi zao zinavoendeshwa...utaona na,na gani walivoendela...wanavoishi kwa raha na amani...raha zao ndio zinawapa uchoyo wazungu kuwapiga na kuwa haribia nchi zao....nenda dubai , nenda abu dhabi, nenda saudia, nenda iran,nenda malaysia .nenda brunei, nenda hata libya , tunisia , nenda hata somali si kuna vita ? basi hawa wakitulia miaka miwili tu wanatuacha kwa mbaaaaaali.
usitukane ....hujui hata huo ukristo kwamba sio dini ...ni makubaliano tu ya wazungu kujuribu kuleta sulhi baada ya kuchoka na ushenzi wa kuuana wenyewe kwa wenyewe...soma history ya Barbarians, soma ushenzi wa Greece na Italy....wazungu walikuwa wana kulana nyama mpka waka amua sasa basi ndio wakaja na huu ukristo...hata hivyo tabia yao hii hawaku acha wakalana tena vita vya kwanza na pili zaidi ya wazungu million 200 walikulana na kuuliwa ..wenyewe kwa wenyewew...
hawa washenzi hawakuchoka kula damu za watu ..wakaja wakawahadaa wafrika huku kuwaingiza kwenye utumwa na kuwabatiza...hatimae nchi zote hizi hakuna kinachiendelea
waislam hawataki kuleta dharau kwa imani ya kikristo..lakini mayahudi jamaa zake yesu walikataa utume wa wake kwa madai ya kwamba ni mtoto wa nje....waislam na Mtume wetu angetaka kuudhalilisha utume wa yesu basi angesema tu yesu ni mwana haramu hakuzaliwa kwa miujiza bila ya baba...bali Maryam kazini ...kama mayahudi wanavo amini...
Lakini Mtume wetu amempandisha sana yesu..ameteremshiuwa sura nzima surat Maryam inahusu kisa kizima cha Yesu...na akamtukuza kabisa....
hivyo ni vyemba kufunika kombe mwana haramu apite
tuje kwenye mada..kwa ukweli hapa bongo hakuna hata hio eleimu ya kujidai...tupo tu...na haya ni sababu ya kuendekeza dezo na upendeleo...ndio maaana hawa wasomi wenu...wameshindwa kulitoa taifa hili katika dimbwi la umaskini....
si chama siasa wala viongozi wa kanisa...wote hawaoni mbali...some time hushangaa..kuna kipindi cha TBC cha tuongee sijui nini basi kila siku watu hao hao....mpaka najiuliza kweli ndio hatuna watu wengine?
wenzetu kenya wamesoma kama unataka kujua usomi ni kitu gani basi tufungue soko la ajira utaona kama waasomi wetu watapata kazi....
uchafu huu wa NECTA usafishwe kwa maskahi ya nchii hiii otherwise ...wasomi wanaopatikana kwa upendeleo wanaliumiza taifa hili
 
Mohamed Said
wachangiaji wengi wamekushambulia kwasababu unaleta reference za uongo na uchochezi. Jifunze kuwa mkweli.

Mwembechai killing 1998
rais-Ally Hassan Mwinyi
Makam- Omar Juma
Igp- Omar Mahita

nyerere anaigiaje hapo?
Huyo professor wako atakuwa wa divinity, haya ndiyo madhara ya elimu ya kupeana unafiki tu.

1998 rais ni BENJAMIN MKAPA......MWINYI KAACHA 1995...
 
Nadhani wao ndio wanatamani waishike wizara ili wachakachue...soon mtaona data zikipaa wakifanikiwazidaka.Kuna shule zao zimeenda mbali, walimu huwa hawaadhibiwi ipasavyo, kwani wengi huingia kwa mgongo wa viongozi, na pia ikitokea kufukuzwa basi si hapa kupata barua ya recommendation.

Case nyingine ni mbaya sana, km walimu kuwatafuta wanafundi na kuwatia mimba,ila adhabu zao si makini sana na haziendi public.Long time kuna school kule arusha,ipo miataa ya wauza mirungi,maandazi na vitumbua, wadada poa ambao mchana wamejifunika kwa rangi nyeusi jioni, mtaa wenye vijana masharubaro mchana usiku ni wa mombasa, na vilevi visivyo pombe,..ambayo mwalimu wake mkuu akishwahi mchapa shehe kichwa ktk Msikiti wa pembeni.Ticha mmoja na wenzie waliwalamba watoto by the time term ya 2 inaisha karibu nusu ya mabinti wenye kuvaa kwa staha walikuwa wanatapika..adhabu aliyopewa baada ya maticha makafir kukomaa mbaya,uongozi ukaona noma wakaridhia apigwe chini.Ticha akasepa kwenda Dom.Baada ya siku kadhaa ikaja fax ku verify recommendation letter iliyopokelewa na shule ingine Dodoma.Cha kushangaa Ticha mmoja kafir akaiona na alipoisoma kwa mshangao akamwendea mkuu na kumwuuliza, mkuu akakiri kumrecommend msela na kwa iman yake si vyema kumharibi maisha "Muumin".Jamaa akmwambia lakini si walikubaliana kuwa afukuzwe na asipewe barua yoyote,ila km huko alipo akiweza pata sawa ila aitegemee shule kwa hilo. Jamaa akaletewa noma kuwa nashambulia dini
Hizi ndizo sababu zifanyavyo hizi shule kuwa na failures sana.
 
sawa kabisa....hapoi ndipo nilipotaka...nigeria yapo, angola yapo, lakini kuna nini huko?...kwa waviristo hamna kitu...hapa nilitaka kukupa tofauti kati ya mafuta yaliopo kwa waislam na wakristo....na kama umesoma viziri nilichoandika nime sema menfi yana patikana kwa waislam ...hivyo najua yapo marekani..na canada....lakini kuyachimba huko ni bora kununua ..
Rank
Country
Percent of World Reserves
World Oil, December 2004
Percent of World Reserves
Oil & Gas Journal, January 2006
1.
Saudi Arabia
24.2
262.1
20.6
266.8
2.
Canada*
0.4
4.7
13.8
178.8
3.
Iran
12.1
130.8
10.3
132.5
4.
Iraq
10.6
115.0
8.9
115.0
5.
Kuwait
9.2
99.7
7.9
101.5
6.
United Arab Emirates
6.5
69.9
7.6
97.8
7.
Venezuela*
4.8
52.4
6.1
79.7
8.
Russia
6.2
67.1
4.6
60.0
9.
Libya
3.2
33.6
3.0
39.1
10.
Nigeria
3.4
36.6
2.7
35.9
11.
United States
2.0
21.4
1.7
21.4
12.
China
1.4
15.4
1.4
18.3
13.
Qatar
1.8
20
1.2
15.2
14.
Mexico
1.4
14.8
1.0
12.9
15.
Algeria
1.4
15.3
0.9
11.4
16.
Brazil
1.0
11.2
0.9
11.2
17.
Kazakhstan
0.8
9.0
0.7
9.0
18.
Norway
0.9
9.9
0.6
7.7
19.
Azerbaijan
0.6
7.0
0.5
7.0
20.
India
0.5
4.9
0.4
5.8
21
Oman
0.4.
4.8
0.4
5.5
22
Angola
0.8.
9.0
0.4
5.4
23
Ecuador
0.5
5.5
0.4
4.6
24
Indonesia
0.5
5.3
0.3
4.3
25
UK
0.4
3.9
0.3
4.0
26
Yemen
0.3
3.0
0.3
4.0
27
Egypt
0.3
3.6
0.3
3.7
28
Malaysia
0.3
3.0
0.2
3.0
29
Gabon
0.2
2.2
0.2
2.5
30
Syria
0.2
2.3
0.2
2.5
31
Argentina
0.2
2.3
0.2
2.3
32
Equatorial Guinea
0.2
1,8
0.0
0.0
32
Colombia
0.1
1.5
0.1
1.5
33
Vietnam
0.1
1,3
0.6
34
Chad
0.0
0.0
0.1
1.5
35
Australia
0.3
3.6
0.1
1.4
36
Brunei
0.1
1.1
0.1
1.4
37
Denmark
0.1
1.3
0.1
1.3
38
Peru
0.1
0.9
0.1
1.0
Total Muslim Countries**
75.9
822.1
66.2
855.6
Total Western World (EU, North America, Australia)
4.1
44.8
16.5
213.3
Other Countries 20.6214.917.3 223.6
World Total100.01,081.8100.01,292.5
Source: EIO: Energy Information Administration
 
Hawa jamaa mimi siwalau sana tatizo ni elimu ndogo sana aliyo nayo huyo ponda na mwezake . Naomba sana ndugu zangu wa Tz wakristo na waislam tusiwape nafasi wanaotaka kutugawa kwa kutumia dini au ukabila.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom