Kinkunti El Perdedo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 4,485
- 11,037
Shekh Ponda Isa Ponda,Ameitupia lawama Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar(SMZ),kwa kitendo cha kumtumia shoga (gay) R.Quest,kutoka Ulaya katika shughuli za Kukuza Utalii visiwani humo.Waziri Simai ameonekana katika picha ya pamoja na bwana Quest alipokwenda kumpokea katika uwanja wa ndege.
Pia Shekh Ponda amekwenda mbali zaidi kwa kuuliza na kuhoji kama bwana Quest akishauri njia ya kuimarisha ushoga visiwani ili Kukuza Utali, serikali itapinga?
Kitendo hiki kimetafsiriwa kama kisicho cha maadili ndani ya Tanzania.
Source: Ukurasa wa Shekh Ponda Isa Ponda katika mtandao wa X zamani ukitambulika Kama Twitter.
Pia Shekh Ponda amekwenda mbali zaidi kwa kuuliza na kuhoji kama bwana Quest akishauri njia ya kuimarisha ushoga visiwani ili Kukuza Utali, serikali itapinga?
Kitendo hiki kimetafsiriwa kama kisicho cha maadili ndani ya Tanzania.
Source: Ukurasa wa Shekh Ponda Isa Ponda katika mtandao wa X zamani ukitambulika Kama Twitter.