Serikali: Pato la Taifa limekua kwa 6.8% ikilinganishwa na 7.7% ya mwaka jana. Uchumi haujaporomoka!

Ilikuwa 7 na sio 7.7
Af kumbuka kadri unavyofanikiwa ndo percentage growth inapunngua

Ni kama bilgate.kuna kipindi alikuwa anaingiza like 5000% kwa mwaka huku sahv anaingiza almost 10% kwa mwaka. Huku anayoingiza sahv ni zaid ya kipindi kile
Watu wa biashara watakubali
 
Alitakiwa kusema pato la taifa limeshuka kutoka 7.7% mpaka 6.8% ikilinganishwa na pato la mwaka jana.
 
Hapana, huchumi haujasinyaa... Kilichopungua ni acceleration. Uchumi ungesinyaa ile rate ingekuwa ni negative. Ukisema economy has grown at -6.8% hiyo negative growth ndiyo ina maanisha contraction... Kwa sasa uchumi unakuwa at a pistive rate yani +6.8%... kasi yake ikiwa imepungua kutoka hiyo +7.7%...
Kwa hiyo tutegemee "acceleration" ya ukuaji kuzidi kupungua kwa positive growth?
Hapana, huchumi haujasinyaa... Kilichopungua ni acceleration. Uchumi ungesinyaa ile rate ingekuwa ni negative. Ukisema economy has grown at -6.8% hiyo negative growth ndiyo ina maanisha contraction... Kwa sasa uchumi unakuwa at a postive rate yani +6.8%... kasi yake ikiwa imepungua kutoka hiyo +7.7%...
Kwa hiyo tukiendelea na hiyo -ve accelearation ya uchumi baada ya miaka mitatu ijayo ndipo tutakuwa tumefikia pale mkulu anataka tufike? Yaani uchumi ukue kwa 1-2 kama wa UK hakafu akijipa tena 5 years tutakuwa na uchumi unaokuwa kwa -1% kabisa?
 
Back
Top Bottom