Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,821
- 221,067
Unajua madaraka waliyonayo yamewafanya watuone sisi wote mambwiiiisi !hakuna wa kujali hata waandike umekuwa 50% watu wanataka kuona uhalisia je kipato cha watu kimekuwa? je Hospital na miundo mbinu muhimu vimeboreka. Ni sawasawa na kusema baba mshahara mwaka kapandishiwa 50% lakini watoto na family hawaoni tofauti wanakula ugali bila mboga kama zamani na wanaishi maisha yaleyale.