Serikali ni ya nini basi?

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,475
39,991
Tunaitaka ifanye hivi na ifanye vile; tunaitaka isifanye hivi au isifanye vile; tunataka viongozi wake wawe hivi au vile na tumefikia mahali pa kuibebesha mizigo ya kila aina; tunailaumu kwa ufisadi, tunailaumu kwa kushindwa kuchukua hatua mbalimbali. Wakati huo huo wapo wengine ambao wanataka tuimbe nyimbo za kuisifia serikali kuwa hatuoni kile ambacho "serikali imefanya" n.k

Serikali inatazamwa kama chombo cha aina fulani ambacho pasipo hicho mambo fulani hayafanyika au hayawezi kufanyika kwa ufanisi; hivyo serikali inatarajiwa kuhakikisha elimu ya juu iko nzuri, barabara nzuri, usalama wa raia, haki za wananchi, n.k n.k

Nimebaki kujiuliza hata hivyo serikali ni ya nini hasa?

Ni mambo gani ambayo serikali inatakiwa iyafanye na ambayo pasipo serikali hayawezi kufanyika? Ni mambo gani jukumu la sekta binafsi au vikundi binafsi vya watu na ni yapi ambayo ni jukumu la mtu mwenyewe?

Je tunaweza kutengeneza njia nzuri ya mafanikio na neema bila kuingiliwa sana na serikali au ni lazima tuihusishe serikali katika kila kitu?

Je serikali ni chachu ya maendeleo au ni kizuizi cha maendeleo hayo? Ni serikali ya namna gani ambayo inachochea maendeleo na ni ya namna gani inayazuia au kuyakwaza?

Tulipojiuliza wakati ule kuhusu vitu tunavyovihitaji ili tuendelee tulisema vitu vinne tu Watu, Ardhi, Siasa Safi na Uongozi bora; Katika maendeleo hayo hatukuksema tunamhitaji Mungu, Dini, Sayansi, Serikali, au kitu kingine. Je serikali ni kile kikolombwezo kinachonogesha mambo hayo mengine?

Bado sijapata majibu na ndio nimeanza kuyatafuta...
 
Wewe ukiboreka ndio unakuja na mambo kama haya, u nid holiday mate....
 
Tunaitaka ifanye hivi na ifanye vile; tunaitaka isifanye hivi au isifanye vile; tunataka viongozi wake wawe hivi au vile na tumefikia mahali pa kuibebesha mizigo ya kila aina; tunailaumu kwa ufisadi, tunailaumu kwa kushindwa kuchukua hatua mbalimbali. Wakati huo huo wapo wengine ambao wanataka tuimbe nyimbo za kuisifia serikali kuwa hatuoni kile ambacho "serikali imefanya" n.k

Serikali inatazamwa kama chombo cha aina fulani ambacho pasipo hicho mambo fulani hayafanyika au hayawezi kufanyika kwa ufanisi; hivyo serikali inatarajiwa kuhakikisha elimu ya juu iko nzuri, barabara nzuri, usalama wa raia, haki za wananchi, n.k n.k

Nimebaki kujiuliza hata hivyo serikali ni ya nini hasa?

Ni mambo gani ambayo serikali inatakiwa iyafanye na ambayo pasipo serikali hayawezi kufanyika? Ni mambo gani jukumu la sekta binafsi au vikundi binafsi vya watu na ni yapi ambayo ni jukumu la mtu mwenyewe?

Je tunaweza kutengeneza njia nzuri ya mafanikio na neema bila kuingiliwa sana na serikali au ni lazima tuihusishe serikali katika kila kitu?

Je serikali ni chachu ya maendeleo au ni kizuizi cha maendeleo hayo? Ni serikali ya namna gani ambayo inachochea maendeleo na ni ya namna gani inayazuia au kuyakwaza?

Tulipojiuliza wakati ule kuhusu vitu tunavyovihitaji ili tuendelee tulisema vitu vinne tu Watu, Ardhi, Siasa Safi na Uongozi bora; Katika maendeleo hayo hatukuksema tunamhitaji Mungu, Dini, Sayansi, Serikali, au kitu kingine. Je serikali ni kile kikolombwezo kinachonogesha mambo hayo mengine?

Bado sijapata majibu na ndio nimeanza kuyatafuta...

Why do you always whine about the government?
 
Labda naomba nikuulize Mwanakijiji who came up first with the idea of government? and why?......kama unafahamu jibu la hilo swali mimi sifahamu. Labda hapo panaweza kuwa pa kuanzia.
 
Serikali yetu inatimiza haya hapa chini? kama inatimiza kwa kiwango gani? Je ni bora kuwa bila serikali (anarchy) au ni bora bila kuwa nayo hata kama serikali iliyopo haitimizi kwa kiwango sisi tunachotaka...?

From Wikipedia....
Fundamental purpose of government
The fundamental purpose of government is the maintenance of basic security and public order - without which individuals cannot attempt to find happiness.The philosopher Thomas Hobbes figured that people, as rational animals, saw submission to a government dominated by a sovereign as preferable to anarchy

People in a community create and submit to government for the purpose of establishing for themselves, safety and public order

Expanded roles for government

Military defense
The fundamental purpose of government is to protect one from his or her neighbors; however, a sovereign of one country is not necessarily sovereign over the people of another country. The need for people to defend themselves against potentially thousands of non-neighbors necessitates a national defense mechanism-a military.

Militaries are created to deal with the highly complex task of confronting large numbers of enemies. A farmer can defend himself from a single enemy person-or even five enemies, but he can't defend himself from twenty thousand-even with the help of his strongest and bravest family members. A far larger group would be needed, and despite the fact that most of the members of the group would not be related by family ties, they would have to learn to fight for one another as if they were all in the same family. An organization that trains people to do this is an army.

Wars and armies predated governments, but once governments came onto the scene, they proceeded to dominate the formation and use of armies. Governments seek to maintain monopolies on the use of force,[4] and to that end, they usually suppress the development of private armies within their states.

Security (Internal)
One of the most important role of the government is to provide security, and to enforce Law. The instruments that are used for this purpose are Police, the management of Identity documents, etc.

Economic security
Increasing complexities in society resulted in the formations of governments, but the increases in complexity didn't stop. As the complexity and interdependency's of human communities moved forward, economies began to dominate the human experience enough for an individual's survival potential to be affected substantially by the region's economy. Governments were originally created for the purpose of increasing people's survival potentials, and in that same purpose, governments became involved in manipulating and managing regional economies.One of a great many examples would be Wang Mang's attempt to reform the currency in favor of the peasants and poor in ancient China.

At a bare minimum, government ensures that money's value will not be undermined by prohibiting counterfeiting, but in almost all societies-including capitalist ones-governments attempt to regulate many more aspects of their economies.However, very often, government involvement in a national economy has more than just a purpose of stabilizing it for the benefit of the people. Often, the members of government shape the government's economic policies for their own benefits. This will be discussed shortly.

Social security
Social security is related to economic security. Throughout most of human history, parents prepared for their old age by producing enough children to ensure that some of them would survive long enough to take care of the parents in their old age. In modern, relatively high-income societies, a mixed approach is taken where the government shares a substantial responsibility of taking care of the elderly.

This is not the case everywhere since there are still many countries where social security through having many children is the norm. Although social security is a relatively recent phenomenon, prevalent mostly in developed countries, it deserves mention because the existence of social security substantially changes reproductive behavior in a society, and it has an impact on reducing the cycle of poverty. By reducing the cycle of poverty, government creates a self-reinforcing cycle where people see the government as friend both because of the financial support they receive late in their lives, but also because of the overall reduction in national poverty due to the government's social security policies--which then adds to public support for social security.

Healthcare
Governments play a major role (with importance varying from a country to another) in contributing to the health of the cititzens. This role includes funding (directectly or indirectly via subsidies) and even manageing the healthcare system. It also intervene by elaborating Laws aiming at protecting the health of the citizens.

Environmental security
Governments play a crucial role in managing environmental public goods such as the atmosphere, forests and water bodies. Governments are valuable institutions for resolving problems involving these public goods at both the local and global scales (e.g., climate change, deforestation, overfishing). Although in recent decades the economic market has been championed by certain quarters as a suitable mechanism for managing environmental entities, markets have serious failures and governmental intervention and regulation and the rule of law is still required for the proper, just and sustainable management of the environment.

Education
The government plays a central role in participating to the education of the citizens. In particular it finances (directly or via subsidizing) a huge portion of the educational system (Schools, Universities, continuous education).
 
Kati ya mtu masikini na mtu tajiri ni nani anaihitaji serikali zaidi?

Trick question .....ila mimi nadhani wote wanaihitaji serikali, tajiri kwa kuhakikisha maskini hawata-team up kuja kumwibia na upande wa maskini ni kuhakikisha kuwa tajiri hatatumia utajiri wake kuwanyanyasha wao kama hata kufikia kuwa-enslave sometimes......kwa ufupi serikali na vyombo vyake ina-act kama referee, msimamizi, moderator (just imagine JF without moderators :) ) etc... kati yao
 
Tunaitaka ifanye hivi na ifanye vile; tunaitaka isifanye hivi au isifanye vile; tunataka viongozi wake wawe hivi au vile na tumefikia mahali pa kuibebesha mizigo ya kila aina; tunailaumu kwa ufisadi, tunailaumu kwa kushindwa kuchukua hatua mbalimbali. Wakati huo huo wapo wengine ambao wanataka tuimbe nyimbo za kuisifia serikali kuwa hatuoni kile ambacho "serikali imefanya" n.k

Serikali inatazamwa kama chombo cha aina fulani ambacho pasipo hicho mambo fulani hayafanyika au hayawezi kufanyika kwa ufanisi; hivyo serikali inatarajiwa kuhakikisha elimu ya juu iko nzuri, barabara nzuri, usalama wa raia, haki za wananchi, n.k n.k

Nimebaki kujiuliza hata hivyo serikali ni ya nini hasa?

Ni mambo gani ambayo serikali inatakiwa iyafanye na ambayo pasipo serikali hayawezi kufanyika? Ni mambo gani jukumu la sekta binafsi au vikundi binafsi vya watu na ni yapi ambayo ni jukumu la mtu mwenyewe?

Je tunaweza kutengeneza njia nzuri ya mafanikio na neema bila kuingiliwa sana na serikali au ni lazima tuihusishe serikali katika kila kitu?

Je serikali ni chachu ya maendeleo au ni kizuizi cha maendeleo hayo? Ni serikali ya namna gani ambayo inachochea maendeleo na ni ya namna gani inayazuia au kuyakwaza?

Tulipojiuliza wakati ule kuhusu vitu tunavyovihitaji ili tuendelee tulisema vitu vinne tu Watu, Ardhi, Siasa Safi na Uongozi bora; Katika maendeleo hayo hatukuksema tunamhitaji Mungu, Dini, Sayansi, Serikali, au kitu kingine. Je serikali ni kile kikolombwezo kinachonogesha mambo hayo mengine?

Bado sijapata majibu na ndio nimeanza kuyatafuta...

serikali ni mfumo wa utawala wenye mamlka ya kusimami taratibu, sheria na kanuni mlizojiwekea kwa ajili ya usalama, ustawi na maendeleo. Serikali hizi huongozwa kwa katiba ambayo ndiyo mkataba wa watawala na watawaliwa.

Bahati mbaya katiba yetu chimbuko lake sio wanachi ndio maana kilio cha katiba kinaendelea.

Jukumu lako kwa serikali yako ni moja tuu nalo ni kulipa kodi ili serikali yako ikutimizie maendeleo unayoyataka.
Sambamba na kulipa kodi pia unatakiwa kuzingatia taratibu, sheria na kanuni mbalimbali.

Kwa kuzingatia hayo wewe kama rai unaouwezo wa kujipatia maendeleo kadri ya uwezo wako ndio maana tuna wakina Mengi na tuna wakina Matonya.

Ile theory ya ili tuendelee twahitaji vitu vinne ilikiuka theory ya Adam Smith kwa kutoainisha hitaji la mtaji,capital.
 
Tunaitaka ifanye hivi na ifanye vile; tunaitaka isifanye hivi au isifanye vile; tunataka viongozi wake wawe hivi au vile na tumefikia mahali pa kuibebesha mizigo ya kila aina; tunailaumu kwa ufisadi, tunailaumu kwa kushindwa kuchukua hatua mbalimbali. Wakati huo huo wapo wengine ambao wanataka tuimbe nyimbo za kuisifia serikali kuwa hatuoni kile ambacho "serikali imefanya" n.k

Serikali inatazamwa kama chombo cha aina fulani ambacho pasipo hicho mambo fulani hayafanyika au hayawezi kufanyika kwa ufanisi; hivyo serikali inatarajiwa kuhakikisha elimu ya juu iko nzuri, barabara nzuri, usalama wa raia, haki za wananchi, n.k n.k

Nimebaki kujiuliza hata hivyo serikali ni ya nini hasa?

Ni mambo gani ambayo serikali inatakiwa iyafanye na ambayo pasipo serikali hayawezi kufanyika? Ni mambo gani jukumu la sekta binafsi au vikundi binafsi vya watu na ni yapi ambayo ni jukumu la mtu mwenyewe?

Je tunaweza kutengeneza njia nzuri ya mafanikio na neema bila kuingiliwa sana na serikali au ni lazima tuihusishe serikali katika kila kitu?

Je serikali ni chachu ya maendeleo au ni kizuizi cha maendeleo hayo? Ni serikali ya namna gani ambayo inachochea maendeleo na ni ya namna gani inayazuia au kuyakwaza?

Tulipojiuliza wakati ule kuhusu vitu tunavyovihitaji ili tuendelee tulisema vitu vinne tu Watu, Ardhi, Siasa Safi na Uongozi bora; Katika maendeleo hayo hatukuksema tunamhitaji Mungu, Dini, Sayansi, Serikali, au kitu kingine. Je serikali ni kile kikolombwezo kinachonogesha mambo hayo mengine?

Bado sijapata majibu na ndio nimeanza kuyatafuta...

Mkuu Mwanakijiji naona unazeeka sasa mheshimiwa, Hiyo Siasa safi na Uongozi bora unailewaje?Hiyo ndio Serikali yenyewe ambayo haina uingiliano na mafisadi. Haiwekwi madarakani kwa maslahi ya wachache wala haichaguliwi kwa hila viongozi wake ni bora na sio bora viongozi.

Tufanyeje ili tuendelee?

Serikali inatakiwa icheze upande wake kwa kuhakikisha chombo cha kukusanya kodi kinaimarishwa na seria za kodi zinakuwa flexible zenye kueleweka na kutekelezeka sio ukiamka unakuta mambo mapya ukokotoaji wa kodi ueleweke kila raia ajue anatakiwa alipe nini anapo gain sumthing na isiwe kile nachokilipa kimfanye ahisi pain! Kodi kwenye Serikali yetu imekuwa sio Kodi ila kukomoana kwa hali hiyo watu wengi wanakwepa kodi.
Kodi ndogo yenye kulipwa na mamilioni ya Raia ni nyingi kuliko kodi kubwa unayolipwa na wachache na wengi kuikwepa ikiwa na viongozi wenyewe. Ukweli ni kwamba ukifanya biashara Tanzania kililahi(Ki ukweli bila kudanganya) Hutaweza kuhimili mikikimiki ya kibiashara u can not stand the harasments za watu wa TRA na mwisho utafunga biashara yako!
TRA wanatoa relief ya kodi kwa invesors Taxi holiday ya up to 5 years of investment kwa raia wakigeni! Wazawa wakinyanyaswa na Wazawa wenzao wanaofanya kazi TRA!

Kwa kila hali Tunahitaji Serikali itakayo weka mfumo wa kodi endelevu kodi ndogo ambayo itakuwa ni aibu mtu kuikwepa!kwani kodi za sasa wengi hawana uwezo wa kuzilipa ndio maana wanazikwepa.
Serikali itakoyo panua wigo wa kodi itakayo vika lengo la makusanyo na kuweka mazingira yenye ulingano katika wawekezaji wa ndani na nje. Serikali itakayo kuwa makini na matumizi yake sio ikusanye pesa nyingi kisha wanunue magari yenye gharama kubwa kuya maintain.
Serikali yenye kujali Raia wake na Raia wa kigeni ili kulinda heshima ndani na nje ya mipaka yetu.
Serikali yenye kuweza kusimamia maendeleo ya wananchi kwa kutumia kodi tozwa!Barabara nzuri zenye viwango ili mizani zipungue. Maana hizo mizani zinawekwa nyingi kwasababu barabara nyingi zipo chini ya viwango na bila ya kuweka mizani hizo hazitaweza kudumu hata mwaka mmoja.

Serikali itakayo acha kufikiria kuwa Elimu ni anasa na kuitoza. Serikali itakayo ona kuwa Elimu ni wajibu wa kila Raia wake na iwe Bure kama wengi wa Viongozi wetu walivyo ipata na Raia waipate hivyo hivyo.

Serikali itakayosikiliza wadau wa kila sekta na itakayo punguza semina elekezi/makongamano na warsha kwani huo ni ufujaji wa pesa za walipa kodi na nchi wahisani.

Mwisho Serikali itakayokuwa si tegemezi kwa nchi wahisani,Serikali itayojizuia kukopa pasipo kuwa na haja ya kukopa isikopa kwa kuwa eti kuna fursa ya kufanya hivyo!
 
Kati ya mtu masikini na mtu tajiri ni nani anaihitaji serikali zaidi?

Matajiri ndio wenye kuhutaji Serikali zaidi kuliko wanavyohitaji Masikini. Na nchi zetu Matajiri ndio wanaoweka Serikali wazitakazo Madarakani mfano mzuri uchaguzi wa mwaka 2005 nchini mwetu Tanzania. Ni matajiri kupitia Account ya EPA waliwezesha kutuchagulia Rais na sasa tunae. Masiki gani ataweza kuuweka uongozi madarakani?labda wafanye maandamano kama ya Thailand maana hayo masanduku ya kura yenyewe mwisho wa siku ni Jaji Makame ndio anamtangaza mshindi kukiwa na tofauti ya tally ya kura za vituoni na zinazotanganzwa makao makuu ya NEC au ZEC kwa Zanzibar.
Matajiri wanahitaji Serikali ili iweze kuwalinda wanaporudisha pesa zao walizowekeza kusimika viongozi mafano hai ni RICHMOND.
 
Ninawapata vizuri kabisa, lakini unaihukumu vipi kuwa serikali fulani ni bora au siyo bora kama majukumu ya serikali ni yale yale bila kujali itikadi ya vyama vyake vya kisiasa au wanaoiongoza?

Serikali ya China kwa upande mmoja na serikali ya Marekani kwa upande mwingine ni serikali mbili ambazo zinatazama mambo kwa namna tofauti sana kuanzia suala la vyama vya kisiasa, uhuru wa maoni, uhuru wa kuabudu, kusimamia mafaa ya watu, suala la usawa, haki n.k. Je serikali zote mbili hizi ziko sawa?
 
Ninawapata vizuri kabisa, lakini unaihukumu vipi kuwa serikali fulani ni bora au siyo bora kama majukumu ya serikali ni yale yale bila kujali itikadi ya vyama vyake vya kisiasa au wanaoiongoza?

Serikali ya China kwa upande mmoja na serikali ya Marekani kwa upande mwingine ni serikali mbili ambazo zinatazama mambo kwa namna tofauti sana kuanzia suala la vyama vya kisiasa, uhuru wa maoni, uhuru wa kuabudu, kusimamia mafaa ya watu, suala la usawa, haki n.k. Je serikali zote mbili hizi ziko sawa?


Serikali zilikuwepa tangu enzi za Nabii Suleiman na majukumu yeke ni kusimamia maswala ya usawa na haki za Raia wake. Serikali zote duniani (majority) hazina usawa japo zipo zinazojitahidi kuweka mazingira kwa raia wake kufaidi resources za nchi husika na raia kupewa priority kwenye mambo muhimu.
 
Back
Top Bottom