Serikali na watanzania wenzetu wanatukwamisha

Marcovicsavic

Senior Member
Nov 14, 2020
130
298
Kuna wimbi la wa Tanzania(wasio na proffesional ya IT) kubeza wale wenye professional hiyo kuwa hawana lolote ni wa burn cd, wapiga window na wa install anti virus.

Lakini ukimuuliza kuna Startup yoyote hata ya huyo IT wa mchongo mwenye ndoto ya kuwa bora siku moja ame i sapoti ?, HAKUNA!

Wanachofanya ni ku dissapoint , ku disrespect na ku discourage ma IT na wenye ndoto za kua ma IT kwa kutowapa fulsa na kwa maneno yasio na rutuba masikioni!

Hao ni wananchi wenye thread kibao za kuponda ma IT.

Upande wa Serikali ndio unaweza kulia.

Kuanzia sera, hakuna mazingira wezeshi yenye kusapoti mawazo ya Tehama.

Kusajili wazo la tehama ni issue kuliko hata kupata tiketi ya kwenda mbinguni.

Kuna sheria kandamizi mnoo za hasa za online payments getaways eg paypal , flutterwave etc ambazo starup zinge fanyiwa urahisi kuzi verify basi kuna vijana wangekua na ajira zenye tija.

Serikali haina muda wa kutafuta namna ya kuwasilia ,kukutana na kujadiriana na vijana kuhusu mawazo ya Tehama , changamoto na way forwad.

Mwisho wa siku startup zina kwama zinafel kijana anaaona bora awe boda boda.

Wenye uwezo wanaenda kusahjiri na kurun mawazo yao mchi jirani kama kenya Rwanda, etc

Sijawahi kuelewa why?

Kwanini?
Ni kwamba viongozi hawaoni umuhimu wa kubusti hii sekta au nawao ndio wana sema hamna ma IT BONGO kma raia wao?

Wito

WATANZANIA TUJENGE UTARATIBU WA KUSAPOTI VITU NA WATU WETU REGARDLESS ! , HII YA KUPONDANA HAITU SAIDII , MBONA WAHASIBU , WANASHERIA , MADAKTARI NA WENGINEO VILAZA WAPO WENGI TU NA HAKUNA WANACHO FANYA NA HATUSEMI?

SERIKALI PIA ANDAENI SERA RAFIKI , TAFUTENI NAMNA YA KUWASILIANA NA SISI WALENGWA , HUWEZI KUJUA CHANGOTO ZETU KWA KUMUULIZA BENJAMIN FERNANDEZ !,

MWISHO

WABONGO TUPUNGIZE UJUAJI!
 
Ukitaka Ku tawala watu, wanyime elimu, Afya, na nguvu za, kiuchumi, Kenge wa CCM, wanachojali ni uchaguzi na kubaki ikulu!, wanaogopa Sana kuwa na kundi la vijana lenye nguvu za kiuchumi, wanapenda kuona "uchawa" Hizo, sera kandamizi, hazipo kwa bahati mbaya, zimewekwa mahususi, kumbuka Jamiiforum ilivyopigwa matukio na utawala wa Shetani jiwe,kuna tafiti zimefanywa, Kama Mark Zuckerberg, ange kuwa mbongo, asingepewa nafasi kufanya anayoyafanya, political establishment ya bongo, inaogopa Sana, kundi la vijana powerful and independent!

Kingine bro, hutakiwi kujali wala kusumbuliwa na chuki binafsi, ndio dunia ilivyo, we kama una amin kitu chako, piga kazi, watu watakupa heshima pale kampuni yako itakapo tanga za ajira! Maneno ya watu yasikutishe, hv unajua kuna watu watafurahi Mond akiporomoka na kufirisika! Ili awe kama wao, fukara!!!
Fata mfano wa Gibson Kawago, yule kijana wa WAGA technology.
 
95% ya Watanzania wanaojiita "IT" hawaelewi hata maana ya IT ni nini.
 
Ukitaka Ku tawala watu, wanyime elimu, Afya, na nguvu za, kiuchumi, Kenge wa CCM, wanachojali ni uchaguzi na kubaki ikulu!, wanaogopa Sana kuwa na kundi la vijana lenye nguvu za kiuchumi, wanapenda kuona "uchawa" Hizo, sera kandamizi, hazipo kwa bahati mbaya, zimewekwa mahususi, kumbuka Jamiiforum ilivyopigwa matukio na utawala wa Shetani jiwe,kuna tafiti zimefanywa, Kama Mark Zuckerberg, ange kuwa mbongo, asingepewa nafasi kufanya anayoyafanya, political establishment ya bongo, inaogopa Sana, kundi la vijana powerful and independent!

Kingine bro, hutakiwi kujali wala kusumbuliwa na chuki binafsi, ndio dunia ilivyo, we kama una amin kitu chako, piga kazi, watu watakupa heshima pale kampuni yako itakapo tanga za ajira! Maneno ya watu yasikutishe, hv unajua kuna watu watafurahi Mond akiporomoka na kufirisika! Ili awe kama wao, fukara!!!
Fata mfano wa Gibson Kawago, yule kijana wa WAGA technology.
Daah kweli aisee
 
Kuna wimbi la wa Tanzania(wasio na proffesional ya IT) kubeza wale wenye professional hiyo kuwa hawana lolote ni wa burn cd, wapiga window na wa install anti virus.

Lakini ukimuuliza kuna Startup yoyote hata ya huyo IT wa mchongo mwenye ndoto ya kuwa bora siku moja ame i sapoti ?, HAKUNA!

Wanachofanya ni ku dissapoint , ku disrespect na ku discourage ma IT na wenye ndoto za kua ma IT kwa kutowapa fulsa na kwa maneno yasio na rutuba masikioni!

Hao ni wananchi wenye thread kibao za kuponda ma IT.

Upande wa Serikali ndio unaweza kulia.

Kuanzia sera, hakuna mazingira wezeshi yenye kusapoti mawazo ya Tehama.

Kusajili wazo la tehama ni issue kuliko hata kupata tiketi ya kwenda mbinguni.

Kuna sheria kandamizi mnoo za hasa za online payments getaways eg paypal , flutterwave etc ambazo starup zinge fanyiwa urahisi kuzi verify basi kuna vijana wangekua na ajira zenye tija.

Serikali haina muda wa kutafuta namna ya kuwasilia ,kukutana na kujadiriana na vijana kuhusu mawazo ya Tehama , changamoto na way forwad.

Mwisho wa siku startup zina kwama zinafel kijana anaaona bora awe boda boda.

Wenye uwezo wanaenda kusahjiri na kurun mawazo yao mchi jirani kama kenya Rwanda, etc

Sijawahi kuelewa why?

Kwanini?
Ni kwamba viongozi hawaoni umuhimu wa kubusti hii sekta au nawao ndio wana sema hamna ma IT BONGO kma raia wao?

Wito

WATANZANIA TUJENGE UTARATIBU WA KUSAPOTI VITU NA WATU WETU REGARDLESS ! , HII YA KUPONDANA HAITU SAIDII , MBONA WAHASIBU , WANASHERIA , MADAKTARI NA WENGINEO VILAZA WAPO WENGI TU NA HAKUNA WANACHO FANYA NA HATUSEMI?

SERIKALI PIA ANDAENI SERA RAFIKI , TAFUTENI NAMNA YA KUWASILIANA NA SISI WALENGWA , HUWEZI KUJUA CHANGOTO ZETU KWA KUMUULIZA BENJAMIN FERNANDEZ !,

MWISHO

WABONGO TUPUNGIZE UJUAJI!
Mkuu sio IT tu fani zote na ubunifu kwa ujumla hata wa vijana walioshia std 7.
Huawahi ona comment yangu ya kuwaponda bosrd ya mkopo kuwapa sh. 150000 wanafinz wa mwaka wa 3/4 kufanya project ya satansu.
Laki na nisu ufanye project gani ya maana!
Waafrika kipaumbele chao sio kujitegemea kiteknolojia bali kununua teknolojia kutoka nje at the corner wanawaponda hamna mnachojua. Ni huzuni sana.
 
Back
Top Bottom