kalooo
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 270
- 154
Je hv Serikali kuchukua vijana waliokosa nafasi kwa kidato cha tano na kuwapeleka vyuo vya kati ni kuwakomoa au kuwasaidia ilhalali laki nane kama tuition fees na miscellaneous kama 250000 total million na ushee mtoto wa maskini ataweza kusoma how come tpsc tabora na joining instruction costs more than.