Serikali na unyanyasaji kwa Mbowe

Serikali na unyanyasaji kwa Mbowe

Vipi kuhusu ujanja wa wezi, mafisadi wapoke rushwa!? Au hawa hawastahili kushughulikiwa? Lugumi kachoya 37 billion Serikali kimyaaa, escrow Ruge na wenzi wenzie wamechota 321 billion Serikali kimyaaa! Wabunge wapiga madili wa CCM wamepokea rushwa milioni 10 kila mmoja sawa na 2.7 billion Serikali kimyaaa! KULIKONI hawa wezi, mafisadi na wapokea rushwa Serikali inapata kigugumizi kuwafuatilia!?

Bro, acha mambo ya ujanjaujanja yy inatakiwa kulipa kodi kwani hiyo ndo mantiki mambo ya TANESCO kudai serikali ni jambo jingine kabisa, kwa hoja yako huyo kamanda Mbowe ni vema kudaiwa kwasabu2 TANESCO inadai serikali?
 
Mkuu nani aliyekwambia ni ndege mbili tu!? hebu hakikisha uko up to date na habari husika kabla ya kuja humu.

Trilioni moja!!!

Gharama za hizo ndege mbili wala haizidi 15% ya hiyo trilioni moja!

Tatizo la Tanesco ni kama ilivyokuwa ATCL kipindi cha nyuma. Tatizo lake ni zaidi ya fedha!
 
Mkuu nani aliyekwambia ni ndege mbili tu!? hebu hakikisha uko up to date na habari husika kabla ya kuja humu.
Hata kama ni 5 bei yake haifiki hata nusu ya trilioni moja!

Tatizo la Tanesco ni zaidi ya deni.
 
Vipi kuhusu ujanja wa wezi, mafisadi wapoke rushwa!? Au hawa hawastahili kushughulikiwa? Lugumi kachoya 37 billion Serikali kimyaaa, escrow Ruge na wenzi wenzie wamechota 321 billion Serikali kimyaaa! Wabunge wapiga madili wa CCM wamepokea rushwa milioni 10 kila mmoja sawa na 2.7 billion Serikali kimyaaa! KULIKONI hawa wezi, mafisadi na wapokea rushwa Serikali inapata kigugumizi kuwafuatilia!?
Ndo maana bunge lipo na wabunge wapo kwani hiyo ndo kazi yao bro-ebu tujaribu kuwa wakweli2 ni aibu kiongozi mkubwa kukwepa kulipa kodi-kwa wenzetu waloendelea hana sifa ya kuwa kiongozi, lakini kwa nchi zetu hizi kwanza ss ndo anapata watetezi na kumwona kama ndo shujaa.
 
Bunge gani unalozungumzia!? hili la wapiga madili wanaopokea rushwa ya milioni 10 kila mmoja ili wapitishe muswaada uchwara? hakuna Bunge pale limeshakuwa Bunge uchwara la Ndiyooooo mzee.

Ndo maana bunge lipo na wabunge wapo kwani hiyo ndo kazi yao bro-ebu tujaribu kuwa wakweli2 ni aibu kiongozi mkubwa kukwepa kulipa kodi-kwa wenzetu waloendelea hana sifa ya kuwa kiongozi, lakini kwa nchi zetu hizi kwanza ss ndo anapata watetezi na kumwona kama ndo shujaa.
 
Hahahahaha Mkuu fuatilia habari ili ujue thamani ya ndege zote zilizonunuliwa ni kiasi gani. Nimesema hakikisha uko up to date na habari husika badala ya kujaribu kubahatisha bei ya ndege zilizonunuliwa. Tatizo la TANESCO ni wanasiasa Marais na wengineo kuanzia Mwinyi, Mkapa, Kikwete na sasa Magufuli hawa ndiyo maamuzi yao mbali mbali yanaiyumbisha TANESCO miaka nenda miaka rudi.

Hata kama ni 5 bei yake haifiki hata nusu ya trilioni moja!

Tatizo la Tanesco ni zaidi ya deni.
 
Naamini Mbowe kama mwananchi mwingine yeyote anapaswa alipe kodi.
Lakini hivi awamu hii ambaye halipi kodi ni mbowe tu!!? Kuna ulazima wa kumuandama kiasi hiko!?
wapo wengi sana zaid ya mbowe wanaandamwa walipe kodi. ila, media haziripoti. zinaripoti issue ya mbowe ili ziuze

Over!
 
Kama taifa tukisema tuanzishe oparesheni ya wakwepa kodi, yawezekana Mbowe akawa wa mbali sana asijadiliwe kabisa. Lakini tumefikaje hapa? Hakuna chuki ya kisiasa naomba majibu?
Alipetu kodi maana hakuna namna, zamu yake ndiyo imefika galaxy nawengine watafatia. zamu yanani leo......
 
Ndo maana bunge lipo na wabunge wapo kwani hiyo ndo kazi yao bro-ebu tujaribu kuwa wakweli2 ni aibu kiongozi mkubwa kukwepa kulipa kodi-kwa wenzetu waloendelea hana sifa ya kuwa kiongozi, lakini kwa nchi zetu hizi kwanza ss ndo anapata watetezi na kumwona kama ndo shujaa.
Watetezi wa wapi wachumia tumbo hawa wa miaka na miaka wanajulikana. Ni yale yale ya kukwepesha hoja kwa kuingiza mambo yanayoshabihiana ili premise ya kwanza ipoteze umuhimu. Whether kuna ESCROW au hakuna Mbowe, tena akiwa kama kiongozi wa chama kikubwa cha siasa, alipaswa/anapaswa kulipa kodi kisheria. Kama anafuatiliwa leo, kesho, kesho kutwa au miaka 100 ijayo siyo hoja. Hoja ni kulipa kodi hizi mbwembwe za kuingiza utetezi mufilisi ni unafiki tu!
 
Unapokusanya kati ya 1.1 trilioni mpaka 1.4 trillion kwa mwezi kamwe huwezi kushindwa kulipa deni la 125 billion tena kwa mkupuo mmoja kama una nia ya kufanya hivyo.
Kwani TANESCO ni ya nchi gani na inadaiwa na serikali gani! Au serikali imesema haiilipi TANESCO?
Mbona mzee povu sana.
 
Serikali inadaiwa na shirika la nyumba NHC, TANESCO,Mifuko ya hifadhi za jamii, Mabenki ya ndani, Walim, Mgodi wa Mwadui trion 24, lakini sioni juhudi za wao kuandamwa kila siku, hivi Tanzania hii kuna wakwepa kodi kuzidi hao makada watiifu kwa CCM? Au mambo mengine yanafanywa ili watu wapate kiki? Kama shamba ni la kwao mbowe toka mwaka 1940 huko ina maana serikali ya MWL.NYERERE haikuona uharibifu huo, ya Mwinyi haikuona, ya Mkapa haikuona ya Kikwete haikuona leo hii ya Magufuli ndo serikali makini imeona sio, hivi kweli kati ya serikali ya MWL. NYERERE na serikali ya Magufuli ipi iliongozwa na watu makini na wazalendo wa taifa?
Huu ni mchezo mchafu, na kama taarifa ilitolewa na watafiti kutoka mkoani inakuwaje MKUU wa mkoa ashindwe kuifuatilia taarifa hiyo ilihali na yeye yupo hapo mkoani hadi taarifa hiyo ije kufuatiliwa na MKUU wa wilaya?

Pambaneni na matajiri tuuone mwisho wenu ila kwa nchi yetu ilivyo hadi sasa unapopambana na tajiri mmoja unaumiza walalahoi 200 na familia zao.
Yeye alipe kwanza kodi halafu wafatie wengine full stop.
 
Kumbe baada ya muda flani Mbowe kiuchumi anaweza akawa siyo mwenzetu kabisa! Ujue jamaa hatanii na hajaribiwi.
 
Bunge gani unalozungumzia!? hili la wapiga madili wanaopokea rushwa ya milioni 10 kila mmoja ili wapitishe muswaada uchwara? hakuna Bunge pale limeshakuwa Bunge uchwara la Ndiyooooo mzee.
Kama unatambua kwamba ni bunge la wapiga dili so mbowe unamweka kindi gani-au ww unasumbuliwa na mahaba bro
 
Kwanini naye hakupewa rushwa ya milioni kumi kama Wabunge wapiga madili wa MACCM!? Kwanini hakuna hata mbunge mmoja wa UKAWA aliyepewa rushwa ya milioni 10!? Tafakari kwa kina na utie akili kichwani badala ya kutoa povu zito.



Kama unatambua kwamba ni bunge la wapiga dili so mbowe unamweka kindi gani-au ww unasumbuliwa na mahaba bro
 
Back
Top Bottom