Serikali na mamlaka zake ni damaged beyond repair?

Serikali na mamlaka zake ni damaged beyond repair?

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
58,058
Reaction score
134,392
Naangalia mahakama inavyofanya kazi zake, maamuzi zake, upindishaji wa sheria, uvunjaji wa katika wa wazi kabisa

Naangalia jeshi linalopaswa kuilinda katiba kufa kupona. Naangalia lilivyolinda wananchi wakati wa maandamano. Naangalia linavyolinda haki ya kuishi nyakati za utekaji

Naangalia bunge unabaki kusikitika tu

Angalia wizara na taasisi zinazoongozwa na watu wasio na uwezo

Naangalia ofisi za umma zilivyojaa watu wavivu na wazembe. Hakuna ofisi yeyote na umma yenye afadhali kwenye utendaji. Haipo

Naangalia elimu yetu ya ujanja ujanja. Naangalia jinsi tulivyojaza form four failures kuwa walimu. Au watu wenye ufaulu hafifu kuwa walimu.

Naangalia wazee wetu waasisi wa Tanganyika jinsi walivyosaliti Mtanganyika,

Naangalia kila kona sioni nafuu.

Najiuliza namna gani hii nchi inaweza kunyanyuka. Mkombozi akipatikana, atatoa wapi viongozi weledi katika sekta mbalimbali za umma?! Maana naona kila kona wamejaa wajanja wajanja tu. Sekta ya ardhi wezi wakubwa wale. Mkombozi atatoa wapi watalaamu wa sekta ardhi nje ya haya majizi yaliyopo?

Je, ndio kusema hizi taasisi ni damaged beyond repair?!
 
Najiuliza namna gani hii nchi inaweza kunyanyuka. Mkombozi akipatikana, atatoa wapi viongozi weledi katika sekta mbalimbali za umma?! Maana naona kila kona wamejaa wajanja wajanja tu. Sekta ya ardhi wezi wakubwa wale. Mkombozi atatoa wapi watalaamu wa sekta ardhi nje ya haya majizi yaliyopo?

Je, ndio kusema hizi taasisi ni damaged beyond repair?!
Umenikumbusha ishu moja hivi nilikua najadiliana na mteja wangu katika story tu za masuala yasiyohusiana na kazi.

Aliniambia anamsomesha mtoto wake nje ya nje ili aje kuendeleza kampuni yake maana bongo kila nyanja ni shaghalabaghala. Nikamuuliza baada ya mwanao kupata elimu bora uko nje akija bongo atafanya kazi na wakina nani? Atakuja na wafanyakazi wake kutoka uko Amerika unapomsomesha?
 
Naangalia ofisi za umma zilivyojaa watu wavivu na wazembe. Hakuna ofisi yeyote na umma yenye afadhali kwenye utendaji. Haipo
Imagine unafika ofisi ya umma wewe ndo unawaelekeza kazi hii mbona mnatakiwa mfanye namna hii.
 
Naangalia mahakama inavyofanya kazi zake, maamuzi zake, upindishaji wa sheria, uvunjaji wa katika wa wazi kabisa

Naangalia jeshi linalopaswa kuilinda katiba kufa kupona. Naangalia lilivyolinda wananchi wakati wa maandamano. Naangalia linavyolinda haki ya kuishi nyakati za utekaji

Naangalia bunge unabaki kusikitika tu

Angalia wizara na taasisi zinazoongozwa na watu wasio na uwezo

Naangalia ofisi za umma zilivyojaa watu wavivu na wazembe. Hakuna ofisi yeyote na umma yenye afadhali kwenye utendaji. Haipo

Naangalia elimu yetu ya ujanja ujanja. Naangalia jinsi tulivyojaza form four failures kuwa walimu. Au watu wenye ufaulu hafifu kuwa walimu.

Naangalia wazee wetu waasisi wa Tanganyika jinsi walivyosaliti Mtanganyika,

Naangalia kila kona sioni nafuu.

Najiuliza namna gani hii nchi inaweza kunyanyuka. Mkombozi akipatikana, atatoa wapi viongozi weledi katika sekta mbalimbali za umma?! Maana naona kila kona wamejaa wajanja wajanja tu. Sekta ya ardhi wezi wakubwa wale. Mkombozi atatoa wapi watalaamu wa sekta ardhi nje ya haya majizi yaliyopo?

Je, ndio kusema hizi taasisi ni damaged beyond repair?!
Nini kifanyike!?
 
Afadhali wewe ushajionea. Hili wengine tumeliona almost miaka 10 nyuma...kila Kona kila nyanja ni ujanja ujanja tu
 
Umenikumbusha ishu moja hivi nilikua najadiliana na mteja wangu katika story tu za masuala yasiyohusiana na kazi.

Aliniambia anamsomesha mtoto wake nje ya nje ili aje kuendeleza kampuni yake maana bongo kila nyanja ni shaghalabaghala. Nikamuuliza baada ya mwanao kupata elimu bora uko nje akija bongo atafanya kazi na wakina nani? Atakuja na wafanyakazi wake kutoka uko Amerika unapomsomesha?
Dhana yako kama nimeielewa ni kwamba tuna wimbi kubwa la watu incompetent kila sekta, na mfumo wa elimu huu unazalisha watu wa aina ileile isiyoweza badilisha kitu
 
Back
Top Bottom