Serikali mpya ya Syria ni mpango wa Urusi?

Serikali mpya ya Syria ni mpango wa Urusi?

Kwani unafikiri Israel na US hawajui matokeo ya wanacho fanya hapo.

Wao wanamtafuta Russia tu aingie vitan kiaina na hao droze Ili wapigane indirect kupitia hao droze.

Irani akijichanganya naepia ndio lengolao.
Wanatengeneza vita wakiwa na plan A,B,C,na kuendelea.

Wanataka kuwaweka bz Russia na Irani.
Doh kama huo ndio mtazamo wako basi umeenda kombo mzee!
Russia yupo busy na Ukraine kule sijui ubusy upi tena unazungumzia!?
Huko Iran kunasemekana kuwa huwenda akavamiwa tena na Israel hivi punde.
Tukubali tu kuwa mahesabu ya hao jamaa yamefeli huo ndio ukweli
 
Urusi ikirudi Syria
Ilienda wapi?
Hesabu yao ni ipi?
Dogo ulilewa tukakuacha,kabla ya gogoro la urusi/Ukraine ilionekana fika Kuwa watakaposusia nishati ya Urusi mbadala wake ni nishati toka Qatar
Nishati kuisafirisha Kwa njia ya bomba ni gharama nafuu.Ili ifike iendako isiwe na mzunguko mrefu ni lazima ipitie Syria,wakaomba kupitisha bomba Syria wakawabania,ukumbuke Urusi alishawaotea na yeye ndo aloweka pingamizi Hilo ili washike adabu.

Waloomba waliponyimwa wakaona mambo yasiwe mengi,manake wameomba weee mpaka mate yamekauka mdomoni,wakaona suluhu ni kushika bunduki TU Assad atoke,ndipo urusi akaingia mzimamzima.

lIlikuwa ni Senema zetu TU Kuwa US/Israel ndo wamempindua Assad.
 
Kwani unafikiri Israel na US hawajui matokeo ya wanacho fanya hapo.

Wao wanamtafuta Russia tu aingie vitan kiaina na hao droze Ili wapigane indirect kupitia hao droze.

Irani akijichanganya naepia ndio lengolao.
Wanatengeneza vita wakiwa na plan A,B,C,na kuendelea.

Wanataka kuwaweka bz Russia na Irani.
So hayo yote unayo yasema wewe Huku Means Russia hawajui !?

Ila wewe mbongo umeshayajua !?

Ila wabongo nyoko 😁🙌
 
Ilienda wapi?

Dogo ulilewa tukakuacha,kabla ya gogoro la urusi/Ukraine ilionekana fika Kuwa watakaposusia nishati ya Urusi mbadala wake ni nishati toka Qatar
Nishati kuisafirisha Kwa njia ya bomba ni gharama nafuu.Ili ifike iendako isiwe na mzunguko mrefu ni lazima ipitie Syria,wakaomba kupitisha bomba Syria wakawabania,ukumbuke Urusi alishawaotea na yeye ndo aloweka pingamizi Hilo ili washike adabu.

Waloomba waliponyimwa wakaona mambo yasiwe mengi,manake wameomba weee mpaka mate yamekauka mdomoni,wakaona suluhu ni kushika bunduki TU Assad atoke,ndipo urusi akaingia mzimamzima.

lIlikuwa ni Senema zetu TU Kuwa US/Israel ndo wamempindua Assad.
So it means Russia Wana husika katika kumpindua Assad ili wapitishe huo mkataba wao wa Bomba la mafuta!?

Mbona ilikuwa inatajwa kuwa USA na Israel Wana husika !?

Je Israel na USA walikuwa Wana ten percent Yao Toka Kwa Russia!? Maana katika siasa bhana watu wanaweza kujifanya kuwa ni maadui mbele ya camera kumbe behind the curtain wanapiga deal kama Kawa
 
So it means Russia Wana husika katika kumpindua Assad ili wapitishe huo mkataba wao wa Bomba la mafu
Hapana,,,urusi ndio kakwamisha mpango WA bomba la mafuta kupitia Syria ili liende nchi za NATO
Mbona ilikuwa inatajwa kuwa USA na Israel Wana husika !?
Urusi mtaalam WA propaganda,Us/Israel waliuziwa jumba bovu.
 
Huyu aliwazunguka Iran, akawa anawasaidia Israel kwa kuruhusu anga la Syria kutumika na IDF huku hakikataa ndege za Iran
Ni puppet wa west
 
Huyu aliwazunguka Iran, akawa anawasaidia Israel kwa kuruhusu anga la Syria kutumika na IDF huku hakikataa ndege za Iran
Ni puppet wa west
Kitamramba soon, naona ashaanza kuona madhara ya kuwaamini wamagharibi yakoje.
 
Back
Top Bottom