Brigedia Chan-ocha
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 1,353
- 2,849
Acha wanyonywe maana tukiwaambia kuwa CCM haifai hawaelewi...
Kudahi au kudai. DARAJA LA 5.Acha wakatwe, wanafki sana. Walianzisha migomo ya kudahi stahiki zao matokeo yake wengine waligoma wengine waliendelea na kazi.
Mkuu, waalimu Ni jeshi kubwa lisilojitambua. Hawana umoja Na sijui Kama wanao huo mpango wa kuwa wamoja siku moja. Mi nadhani hawajapewa kitu inauma. Madhila wanayopitia halafu unakuta May Day wanajitoa ufahamu badala ya kuonyesha hisia zao wanabaki wanachekacheka halafu yakiwafika wanakimbilia JF.
Mi nadhani wawakate mishahara pasu kwa pasu Ili kisu kiguse mfupa. Vinginevyo mwenyewe huwa anasema kelele za mlango hazina madhara kwenye usingizi. Watapiga kelele bila kuchukua hatua Na kukatwa mishahara watakatwa, wakitangatanga watapigwa Ili watulie tuliii......
Asalaam alekyum wana ukumbi!
Jana nimeshuhudia walimu mbalimbali wilaya ya Nyamagana wakipaza sauti zao kwa pamoja; kupinga makato ya sh 10,000/= kwenye mishahara yao kwa lengo la kujenga maabara sekondari.
Kujenga maabara ni jambo jema sana tena sana! Lakini kitendo cha kukata pesa bila kuwashirikisha walimu ni uonevu na ukiukwaji na utawala wa kisheria.
Mbona pesa za kuwalipa wajumbe wa bunge la katiba hazikuleta shida zilipatikana na mabilioni yaliteketea Dodoma? Kwa nini serikali isitafute pesa kama ilivyofanya kwenye bunge la katiba ili maabara zijengwe? Inakuwaje mtumie ubabe kwa njia kandamizi wakati wachache ndiyo wanafaidi keki ya Taifa walio wengi wanaumia!
Ukienda vijijini wananchi wanakamatwa eti hawakwenda kwenye maendeleo ya shule za kata na ujenzi wa maabara; hili linapaswa kukemewa kwa nguvu zote na kila raia mpenda haki; na maendeleo, kwani ccm wanatumia nguvu za wanyonge kujinufaisha wenyewe.
Nawaomba msiwanyanyase walimu laana itawaumbua nyie wote mlio shika madaraka! Kwa nini hamkuwakata wajumbe wa bunge la katiba! badala yake wakatwe watumishi wa umma wakiwemo walimu ambao mishahara yao inaishia kwenye kulipa riba kwenye mabenki?
Watanzania acheni kulala usingizi fanyeni maamuzi magumu! Hii ni vita pambaneni haki itendeke kwani pesa zinatumika vibaya hili halikubariki.
Chanzo taarifa ya habari ITV.
Acha wanyonywe maana tukiwaambia kuwa CCM haifai hawaelewi...
Wape changamoto wenzio, ila omba wasikugeuke Na Mungu awape ujasiri. Kila la Kheri.Mimi ni mwalimu na nimekataa kata kata kutoa.. tuliambiwa elfu 20.. na wakikata mshahara wangu hata kumi.. mtasikia nimeondoka na komputa ya mkurugenzi ..shwain!
Subiri, limits of acceptable tolerance will be reached very soon. Na siku hiyo hatua ikifikiwa itakuwa Kama ilivyo gari ya kusukuma ikisha waka, total madness!Naam naam!! Nakubaliana na wewe bila chenga ndugu! Walimu wamuunge mkono mwalimu Nyerere haya wanayofanya ccm hasa katiba mpya hayafai hata kidogo! Walimu wanatuangusha naunga mkono hoja yako.
Mwalimu Kaijage badala ya kugombania hela za walimu wenziwe zinazokatwa pasipo kujua, yeye anagomaba na UKAWA. Shem on you Mwalimu Kaijage
Hilo litakuwa jambo jema, Walimu watapata akili maana bado wamelala na ndiyo wamesaidia kukwamisha mabadiliko ya kisiasa nchini!! Walimu wana nguvu sana huko vijijini............... kama wangekuwa wameamka CCM wasingekuwa wanawachezea.
Bnafsi sidhani kama walimu wetu Tz wanajitambua, wapo weak saa ktk kutetea maslahi yao, ni waoga na hawajiamini mie huwa sielewi ni kwanini, unaesemaje hukushirikishwa wakati hilo ni jukumu la serikali yenyewe kuhakikisha mahtaji yanayofanya shule iitwe shule yanakuwepo??? ina maana mngeshirikishwa mngeridhia? walimu to be honest mmezidi kuwa waoga, hizo shule ni za serikali ambayo ktk mshahara wako pia unakatwa kodi na katka mahtaj mbalimbal ya nyumban pia unakatwa kodi...!!
Subiri, limits of acceptable tolerance will be reached very soon. Na siku hiyo hatua ikifikiwa itakuwa Kama ilivyo gari ya kusukuma ikisha waka, total madness!
Mimi ni mwalimu na nimekataa kata kata kutoa.. tuliambiwa elfu 20.. na wakikata mshahara wangu hata kumi.. mtasikia nimeondoka na komputa ya mkurugenzi ..shwain!