- Thread starter
- #81
Sasa mkuu ni sawa MAGAMBA wana wakandamiza raia wake! na hawafai kuendelea kuwa madarakani; na nadhan hata walimu wanalitambua hilo. BUT unafikiri ni chama gani kitawatendea haki wananchi? ktk nchi hii wababaishaji ni wengi sana, waliowengi wanapambana ili waingie kwenye mfumo wapate fursa ya kuwanyonya watanzania.
ndugu ccm ile ya mwalimu Nyerere ilikwisha kufa! Ukubali ukatae poa! Chama kimebaki na majambazi huo ndiyo ukweli; na mara nyingi mfumo wowote duniani unapokaa muda mrefu ufanisi na makusudi ya huo mfumo hutoweka polepole kwa maana ya kwamba, wanaanza kuingia na watu wabaya na kuharibu malengo yote!
Hivyo basi! Niushauri wangu kwako na wote wanaopitia bandiko langu; kuamini kwamba! Ni lazima kubadili chama kingine cha siasa ili kichukue dola na kukipima kama tunavyowapima viongozi wa sasa na mwalimu Nyerere wanaonekana kupwaya na Nyerere anawafunika.
Tuwape UKAWA nafasi hii wainusuru nchi ndugu nchi imeuzwa na wahuni wachache haiwezekani tukae kimya even for Chadema let it be!