Lyangalo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2009
- 679
- 234
Ninashindwa kuelewa serikali inavyochezea madaktari. Yawezekana huu ukawa mpango wa mafisadi wawachokoze madaktari ili wazile kuwatibu walalahoi. Wao na watoto wao watatibiwa nchi. Halafu tukishakufa wachukue urithi. Mungu yupo nasi Baba mwanaisha utapita na kundi lako. Tanzania itadumu milele