PostGE2025 Serikali kupitia Waziri Mkuu tumesikia idadi ya mali zilizoharibiwa kwenye maandamano, basi tunaomba na idadi ya vifo

PostGE2025 Serikali kupitia Waziri Mkuu tumesikia idadi ya mali zilizoharibiwa kwenye maandamano, basi tunaomba na idadi ya vifo

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Mwizukulu wa Buganda

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2024
Posts
638
Reaction score
1,771
Vitu vilivyochomwa vilivyoainishwa na Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba ni pamoja na
1. Ofisi za Serikali 756
2. Vituo vya mwendokasi 26
3. Vituo vya Polisi 159
4. Vituo vya mafuta 672
5. Magari Binafsi 1642
6. Pikipiki binafsi 2268
7. Magari ya Serikali 976

Lakini jambo la kushangaza, serikali mpaka leo haitaji idadi ya wananchi waliouawa na serikali hii dhalimu. Inashangaza kuwa mmepata taarifa za mali za Serikali na Binafsi zilizoharibiwa lakini mmeshindwa kujua idadi ya vifo, mnaficha nini kuhusu vifo?
 
Kutafuta fursa ya kukutana na waandishi wa habari? Hivi kukutana na vyombo vya habari ni fursa?
 
Vitu vilivyochomwa vilivyoainishwa na Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba ni pamoja na
1. Ofisi za Serikali 756
2. Vituo vya mwendokasi 26
3. Vituo vya Polisi 159
4. Vituo vya mafuta 672
5. Magari Binafsi 1642
6. Pikipiki binafsi 2268
7. Magari ya Serikali 976

Lakini jambo la kushangaza, serikali mpaka leo haitaji idadi ya wananchi waliouawa na serikali hii dhalimu. Inashangaza kuwa mmepata taarifa za mali za Serikali na Binafsi zilizoharibiwa lakini mmeshindwa kujua idadi ya vifo, mnaficha nini kuhusu vifo?
Hiyo taarifa siyo sahihi
 
Vitu vilivyochomwa vilivyoainishwa na Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba ni pamoja na
1. Ofisi za Serikali 756
2. Vituo vya mwendokasi 26
3. Vituo vya Polisi 159
4. Vituo vya mafuta 672
5. Magari Binafsi 1642
6. Pikipiki binafsi 2268
7. Magari ya Serikali 976

Lakini jambo la kushangaza, serikali mpaka leo haitaji idadi ya wananchi waliouawa na serikali hii dhalimu. Inashangaza kuwa mmepata taarifa za mali za Serikali na Binafsi zilizoharibiwa lakini mmeshindwa kujua idadi ya vifo, mnaficha nini kuhusu vifo?
Amepewa uwazri mkuu na wananchi sielewi wakuu
 
Kama uwaziri mkuu unapatika kwa hivi ,basi kila awe waziri mkuu .

Mzee Wariba kawa, Mzee pinda , lowasa, nk wamekua huyu anatoka wapi ? Katika mazingira gani ,wakati gani na kwa sabubu zipi? Tuheshimiane watz
 
Press ya leo ungetakiwa mkubali kuwa mlikosea, na mtawajibika na pia wafiwa mtuambie mtawafanyia nini? Kuliko kutaka huruma za kipumbavu tuu.

Kama umetaja uharibifu wa mali na hasara tutajie idadi ya vifo waliokufa na utawafanyia nini wafiwa.
Alafu mbona kama una hofu mheshimiwa?
 
Press ya leo ungetakiwa mkubali kuwa mlikosea, na mtawajibika na pia wafiwa mtuambie mtawafanyia nini? Kuliko kutaka huruma za kipumbavu tuu.

Kama umetaja uharibifu wa mali na hasara tutajie idadi ya vifo waliokufa na utawafanyia nini wafiwa.
Alafu mbona kama una hofu mheshimiwa?
CNN hawakutaja uharibifu wa mali za umma na binafsi hilo kwenu sio tatizo, ila tatizo ni mwigulu kutokusema idadi ya vifo utadhani tupo kwenye sherehe ya vifo tunajipongeza.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Vitu vilivyochomwa vilivyoainishwa na Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba ni pamoja na
1. Ofisi za Serikali 756
2. Vituo vya mwendokasi 26
3. Vituo vya Polisi 159
4. Vituo vya mafuta 672
5. Magari Binafsi 1642
6. Pikipiki binafsi 2268
7. Magari ya Serikali 976

Lakini jambo la kushangaza, serikali mpaka leo haitaji idadi ya wananchi waliouawa na serikali hii dhalimu. Inashangaza kuwa mmepata taarifa za mali za Serikali na Binafsi zilizoharibiwa lakini mmeshindwa kujua idadi ya vifo, mnaficha nini kuhusu vifo?
Wananchi hawana thamani
 
Nashangaa Tume imeundwa ndio ilitakiwa ije na majibu yote haya wao wanaleta majibu kabla ya Tume sasa kazi ya Tume ni nini nilitegemea press conference itahusu watu waliokufa na si vyuma chakavu kuna tatizo sehemu..
 
CNN hawakutaja uharibifu wa mali za umma na binafsi hilo kwenu sio tatizo, ila tatizo ni mwigulu kutokusema idadi ya vifo utadhani tupo kwenye sherehe ya vifo tunajipongeza.
Wewe jamaa ni mpumbavu kupitia kiwango...

Miundombinu au rasilimali yoyote ile haina thamani kuzidi uhai wa mtu...

Uhai wa mtu ni wa thamani kuliko kitu chochote Duniani...
 
Press ya leo ungetakiwa mkubali kuwa mlikosea, na mtawajibika na pia wafiwa mtuambie mtawafanyia nini? Kuliko kutaka huruma za kipumbavu tuu.

Kama umetaja uharibifu wa mali na hasara tutajie idadi ya vifo waliokufa na utawafanyia nini wafiwa.
Alafu mbona kama una hofu mheshimiwa?
Hawana hoja hao kuku
 
Madowo....Madowo
Amewafanya watu wanataka kuvaa chupi kichwani
 
Back
Top Bottom