EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Serikali itandoa polisi wote wanaolinda mgodi wa North Mara Gold Mine. Polisi wataondolewa kwa awamu katika kipindi cha miezi miwili ijayo. Serikali kupitia polisi imeshaitaarifu Barrick Gold watafute walinzi wao wenyewe. Kuanzia mwaka 2008, jumla ya 50 walikuwa wanalinda huo mgodi. Habari kwa mujibu wa DOW JONES.