mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 10,518
- 19,883
Kuhamisha maduka ya dawa karibu na hospital ni kusumbuwa watu,,
Kila la siku napiga Kelele humu,
Dawa ya watu kuwa waadilifu ni kuweka adhabu Kali kwa wale wote wanaofuja Mali za umma.
Na atakayekamatwa na dawa za serikali basi adhabu yake ni Sawa na kesi ya mauaji.
Uone kama dawa zitakosekana mahospitalini..
Watu wanaiba dawa mnafanya kuwabembeleza wasiibe,,
Ajabu Sana..mwizi anabembelezwa asiibe.
Kila la siku napiga Kelele humu,
Dawa ya watu kuwa waadilifu ni kuweka adhabu Kali kwa wale wote wanaofuja Mali za umma.
Na atakayekamatwa na dawa za serikali basi adhabu yake ni Sawa na kesi ya mauaji.
Uone kama dawa zitakosekana mahospitalini..
Watu wanaiba dawa mnafanya kuwabembeleza wasiibe,,
Ajabu Sana..mwizi anabembelezwa asiibe.