Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,617
Ndiyo akili za CCMMapuuzi kweli, yaani kodi ya mwezi mmoja mmoja ya nini sasa!!!! wamenikera sana. Yaani sasa mwishowe tutapangiwa hata muda wa "ku do"
Ndiyo akili za CCMMapuuzi kweli, yaani kodi ya mwezi mmoja mmoja ya nini sasa!!!! wamenikera sana. Yaani sasa mwishowe tutapangiwa hata muda wa "ku do"
Ujenge mwenye alafu CCM wakupangieMimi ata kama itakuaje sitapokea hizo pesa bora vyumba nikafugie nguruwe.Sitakubali kupangiwa chochote,ebooo
Sidhani kama wabunge nao watakuwa vilaza wapitishe huu upupu!!Ndiyo akili za CCM
Umesoma uchumi??? we unanufaika vp kuwa na cash in hand?? Assume natakiwa nikulipe 100k baada ya miezi 6, nimeamua kukulipa leo, ukaifanyia biashara, after 6 month how much will you have?
Ukikataa unashtakiwaMimi ata kama itakuaje sitapokea hizo pesa bora vyumba nikafugie nguruwe.Sitakubali kupangiwa chochote,ebooo
Waache kuingilia mambo kama haya, mimi naelewana na mpangaji wangu. wakitaka waweke bei elekezi sasa maana tunakoenda siko!!!CCM ni wapuuzi haswa.
Fugia tu mkuu..usitokwe povu...anza haraka sana ufugaji wako..weka punda, sungura etcUjinga mtupu.ngoja tufugie ngo'mbe kwenye hizo Nyumba kila mtu apambane na hali yake
Wajenge nyumba za kwao alafu wapangishe.Waache kuingilia mambo kama haya, mimi naelewana na mpangaji wangu. wakitaka waweke bei elekezi sasa maana tunakoenda siko!!!
Kwani wanaopanga hawana shida na waoMtu kajenga kwa shida alf umpangie jmn
Mwezi mmoja ndiyo mpango mzima. Pia inakupa mwenye nyumba uhakika wa kipato cha kila mwezi.Serikali ijenge nyumba zake na kuweka utaratibu huo.
Kwa hiyo wewe upeleke mtoto shule ila mwenzio asimpeleke mwanae shule??. Tatizo umimi....Watakuenemesha vip apo .mfano kodi kwa mwenzi ilikua 100000 ukawa unachukua 600000 kwa mienzi sita.hauoni ukipata ya mienzi sita unafanya mambo yako ya maana.mtoto anaenda shule n.k
Wrong perceptionreal G
Wapangaji wengi watapata uvivu wa kujenga zao.
Halafu nadhani kutakuwa na kodi elekezi ambayo itakuwa na kodi ya Serikali ambayo itaenda kuiendesha Mamlaka hiyo.
Itapunguza kero za wenye nyumba kwa wapangaji ila itajenga uvivu wa kutukuka kwa wapangaji ili wasijenge zao kwani kodi ya kila mwezi mbona ni afueni