R.B
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 6,296
- 2,573
Nimesikitishwa na uhamuzi wa Mh Mwakyembe.
wa kuanzisha usafiri wa trani jijini Dar es Salaam;
1. Hii ni serikali kuanza ukiritimba wa kufanya biashara ambayo ilishindwa toka kipindi kile.tunarudi socialism
2. Ni uhamuzi wa kisiasa zaidi badala ya kitaalamu (zima moto)
3.Kunenepesha matumbo ya watu fulani wkt wa tenda ya kusafirisha ; tunarudi kwenye MATATIZO YA UDA
4. Kuna watu wanamikopo ya biashara ya Daladala kwenye mabenki ; sijui watailipaje kutokana na kupato kupungua na abiria wenye kukimbilia usafiri wa trani.
5. Foleni inasababishwa na magari binafsi sio DALADALA; Sijui hizo takwimu wamezitoa wapi. wangetakiwa kufungu mageti ya kuingilia mjini kwa kucharge gari binafsi shillingi 5000; ili kudiscourage foleni.
6.Biashara ya mafuta itaongezeka kwa kuiba ya kwenye trani km tunavyo shuhudia
wa kuanzisha usafiri wa trani jijini Dar es Salaam;
1. Hii ni serikali kuanza ukiritimba wa kufanya biashara ambayo ilishindwa toka kipindi kile.tunarudi socialism
2. Ni uhamuzi wa kisiasa zaidi badala ya kitaalamu (zima moto)
3.Kunenepesha matumbo ya watu fulani wkt wa tenda ya kusafirisha ; tunarudi kwenye MATATIZO YA UDA
4. Kuna watu wanamikopo ya biashara ya Daladala kwenye mabenki ; sijui watailipaje kutokana na kupato kupungua na abiria wenye kukimbilia usafiri wa trani.
5. Foleni inasababishwa na magari binafsi sio DALADALA; Sijui hizo takwimu wamezitoa wapi. wangetakiwa kufungu mageti ya kuingilia mjini kwa kucharge gari binafsi shillingi 5000; ili kudiscourage foleni.
6.Biashara ya mafuta itaongezeka kwa kuiba ya kwenye trani km tunavyo shuhudia