Serikali kuingilia biashara ya usafirishaji kutaka kuboresha huduma ya treni sio haki

Nimesikitishwa na uhamuzi wa Mh Mwakyembe.

wa kuanzisha usafiri wa trani jijini Dar es Salaam;

1. Hii ni serikali kuanza ukiritimba wa kufanya biashara ambayo ilishindwa toka kipindi kile.tunarudi socialism

2. Ni uhamuzi wa kisiasa zaidi badala ya kitaalamu (zima moto)

3.Kunenepesha matumbo ya watu fulani wkt wa tenda ya kusafirisha ; tunarudi kwenye MATATIZO YA UDA

4. Kuna watu wanamikopo ya biashara ya Daladala kwenye mabenki ; sijui watailipaje kutokana na kupato kupungua na abiria wenye kukimbilia usafiri wa trani.

5. Foleni inasababishwa na magari binafsi sio DALADALA; Sijui hizo takwimu wamezitoa wapi. wangetakiwa kufungu mageti ya kuingilia mjini kwa kucharge gari binafsi shillingi 5000; ili kudiscourage foleni.

6.Biashara ya mafuta itaongezeka kwa kuiba ya kwenye trani km tunavyo shuhudia

Nimerudia taarifa yako mara zaidi ya tatu na sijaona hoja yako ya msingi ni nini. Mdau unayependelea kuendelea kuwachuna watanzania wenzako wenye kipato cha chini kwa kuwatoza minauli yenu ya ajabuajabu, jioni mnakata route kama mtakavyo,huku makonda wenu wachafu suruali zao zikiacha makalio nje! Tumechoka picha mbofumbofu! Ngoja zije hizo treni ili mboreshe huduma zenu.
 
Nimerudia taarifa yako mara zaidi ya tatu na sijaona hoja yako ya msingi ni nini. Mdau unayependelea kuendelea kuwachuna watanzania wenzako wenye kipato cha chini kwa kuwatoza minauli yenu ya ajabuajabu, jioni mnakata route kama mtakavyo,huku makonda wenu wachafu suruali zao zikiacha makalio nje! Tumechoka picha mbofumbofu! Ngoja zije hizo treni ili mboreshe huduma zenu.

acha ushamba ; UNIFORM uzioni au ujapanda daladala za mwenge; kukatiza route ulireport SUMATRA wakashidwa kuwaadhibu ; mara ngapi wanahadhibiwa kwa faini za juu; Mlegee na usafiri , watafutieni walaji . mnaingizwa KING Mnaona hivivi .. PEVUKENI KIAKILI ONANENI MBALI
A%20S-baby.gif
 
acha ushamba ; UNIFORM uzioni au ujapanda daladala za mwenge; kukatiza route ulireport SUMATRA wakashidwa kuwaadhibu ; mara ngapi wanahadhibiwa kwa faini za juu; Mlegee na usafiri , watafutieni walaji . mnaingizwa KING Mnaona hivivi .. PEVUKENI KIAKILI ONANENI MBALI
A%20S-baby.gif

Kwani wewe kinauma nini?
Kama tunaingizwa king wewe tuache..
Tembea uone sehemu zingine duniani..
 
Tumia akili na wewe, kuna mtu alikumbia ununue daladala. Hizo daladala zako peleka Kibiti

Ha ha ha...naona umemsoma.kwanza wasiwasi wake ni wa nini sijui,aliyemwambia hii treni iko kila upande ni nani..mfanyabiashara muoga kama nini
 
Ni jambo dhahiri kuwa maendeleo yanachelewa kwa sababu ya fikra kama za huyu bwana. Huyu amekuja kuandika hapa JF, lakini wako wengi hawaandiki JF ila wanatekeleza mtimanyongo yao chinichini kuzuia maendeleo ili tu wao waweze kujisikia fahari zaidi!
 
Tumia akili na wewe, kuna mtu alikumbia ununue daladala. Hizo daladala zako peleka Kibiti

Huwezi kumuambia mtu atumie AKILI AMBAZO HANA. Hivi anajua serikali hupoteza kiasi gani kila siku kwa sababu ya foleni. Anataka kusema suala la msongamano wa magari siyo kero inayopaswa kutatuliwa na serikali? Ni nani anamiliki treni ambazo zingeweza kufidia ombwe la usafiri lililopo jijini baada ya daladala anazopigia kelele kuzidiwa na idadi ya abiria?

Yeye ndiye mkiritimba wa mawazo anayedhani kwamba kuwaacha daladala wamiliki sekta ya usafiri jijini siyo ukiritimba. Sasa na huo mradi wa mabasi unaokuja ambao kimsingi hauna umiliki wa moja kwa moja wa serikali atasemaje? Mawazo mgando yenye mtazamo finyu wa kibinafsi ahayana nafasi. Tumechelewa sana na sasa tunahitaji kupiga hatua, stupid!
 
Nimesikitishwa na uhamuzi wa Mh Mwakyembe.

wa kuanzisha usafiri wa trani jijini Dar es Salaam;

1. Hii ni serikali kuanza ukiritimba wa kufanya biashara ambayo ilishindwa toka kipindi kile.tunarudi socialism

2. Ni uhamuzi wa kisiasa zaidi badala ya kitaalamu (zima moto)

3.Kunenepesha matumbo ya watu fulani wkt wa tenda ya kusafirisha ; tunarudi kwenye MATATIZO YA UDA

4. Kuna watu wanamikopo ya biashara ya Daladala kwenye mabenki ; sijui watailipaje kutokana na kupato kupungua na abiria wenye kukimbilia usafiri wa ]trani.

5. Foleni inasababishwa na magari binafsi sio DALADALA; Sijui hizo takwimu wamezitoa wapi. wangetakiwa kufungu mageti ya kuingilia mjini kwa kucharge gari binafsi shillingi 5000; ili kudiscourage foleni.

6.Biashara ya mafuta itaongezeka kwa kuiba ya kwenye trani km tunavyo shuhudia


Nilipokuwa darasa la kwanza, tuliimba:

Maua mazuri yapendeza....

Halafu tukaimba;

Asiyejua kusoma ni....

Hivi wewe ni raia wa nchi gani vile? Anghaa!! Nilisikia ulivyokuwa unadanganya uraia wako.

Sema tu, baba yako anatokea kijiji gani?
 
Usafirishaji duniani mara nyingi unafanywa na umma na faida yake ni watu kuwahi kwenye shuguri zao na serikali kujipatia kipato kutokana na watu kufanya kazi zao za uzalishaji mali kwa ukamilifu tumechoka na usafiri ambao unapoteza muda kusubiri basi lijae.

Kwanza daladala ina uhusiano mkubwa na kuongezeka kwa mateja na vibaka Mwakyembe aimarishe treni ili zisaidie kupunguza mfumuko wa bei kwani waliokuwepo walikuwa wanaiua makusudi ili kulinda biashara zao
 
acha ushamba ; UNIFORM uzioni au ujapanda daladala za mwenge; kukatiza route ulireport SUMATRA wakashidwa kuwaadhibu ; mara ngapi wanahadhibiwa kwa faini za juu; Mlegee na usafiri , watafutieni walaji . mnaingizwa KING Mnaona hivivi .. PEVUKENI KIAKILI ONANENI MBALI
A%20S-baby.gif

Sasa hili la kwako ndo ushamba kwani hata katika mataifa yalioendelea suala la public transport ndani ya majiji ni la serikali! Kulijua hili si lazima uende ulaya, jenga tu tabia ya kusoma siku hizi kuna mitandao utaona huko serikali zina majukumu gani katika sekta hii!

Serikali inapojaribu kukumbuka wajibu wake wa msingi waliokuwa wanategea kuutekeleza mnaona wanawaingilia!

Tatizo letu wabongo tunawsitukia sana viongozi wa serikali tangu wimbi la wizi au Ufisadi ulipoota kwa kasi hapa kwetu. Mara zote hatuioni nia njema ya serikali badala yake tunasikia maumivu ya kuibiwa hata kabla ya kuibiwa!
 
Shirika la Usafiri Dar liundwe na serikali,

60%(600,000,000 share) ya hisa ziuzwe kwa Watanzania wote, kila share Tshs 10,000.00
asiwepo mtu wa kununua hisa kwa LION share.
Kila Mtanzania atapewa hisa zisizozidi 20
30% ziuzwe kwa mwekezaji/wawekezaji kadhaa wakubwa kwa mfano Kiwanda cha SCANIA
Scania original ile ya Sweden.
10% ibaki serikalini milele

Shirika likikomaa lisambae kila mji Tanzania nzima.

Mawazo Msalagambwe.

Shirika la muundo huo halitakufa kamwe.
 
Tuko wengi humu jamani. Muacheni naye aliingia JF kuvuna hekima na sasa (labda) ataelimika kwamba kuna mengi dunia hii hayajui.

Wewe unaingia benki unakopa kwa ajili ya wateja ambao huna control nao. Hukuchunguza hata sera ya serikali, ipo au haipo na inasemaje juu ya usafiri wa umma. Huwezi kuzuiya mipngo inayoboresha maisha ya wananchi.

Unaamua kujenga kioski karibu na barabara. Serikali iniona hiyo siyo barabara inayofaa, inahamisha muelekeo wa njia halafu wewe unalalama kwamba inakutia hasara kuhamisha njia!

Siku nyingine ukitaka kuanzisha biashara, toa wazo hapa JF ili wakupe msaada. wako wahusika wengi kabisa hapa ndani. Bila hata malipo!
 
sasa ndugu yangu hivi wewe unategemea kila siku waswahili wenzako waendelee kuumizwa na maisha kisa wewe unapata? naogopa kuandika nilichotamka kwenye akili yangu ila kwa lugha rahisi sana naweza kuzema think Big.

kwanza biashara ya daladala ni biashara ya wavivu wasiopenda kujiongeza.
wasiowezeka kutake risk kwenye biashara nyingine.
(keep in mind that some people can be fool some time but not all the time)
aliyekutuma mwambie hili wadanganyika wamestuka!

Kweli inatupasa to think big kama hawa jamaa. Singapore on Discovery Channel - YouTube

Hizi miradi mbili hazitoshi, treni na mabasi yaendayo kwa kasi. Bado sana. Hata hivyo ni mwanzo mzuri.
 
He! Makubwa haya!! Yaani wewe unaona tunavyoteseka na daladala ni haki!!! Mkopo wako usitufanye sie tuendelee kupata shida. Hao madereva wenu mbona wanatudhalilisha sana!!

Mara wabadili route, mara gari haliendi au utakuta limepark tu!! Daladala zimeshindwa kutatua tatizo la usafiri jijini Dar!! Wacha treni zije tunazingoja kwa hamu sana!!!
Nimesikitishwa na uhamuzi wa Mh Mwakyembe.

wa kuanzisha usafiri wa trani jijini Dar es Salaam;

1. Hii ni serikali kuanza ukiritimba wa kufanya biashara ambayo ilishindwa toka kipindi kile.tunarudi socialism

2. Ni uhamuzi wa kisiasa zaidi badala ya kitaalamu (zima moto)

3.Kunenepesha matumbo ya watu fulani wkt wa tenda ya kusafirisha ; tunarudi kwenye MATATIZO YA UDA

4. Kuna watu wanamikopo ya biashara ya Daladala kwenye mabenki ; sijui watailipaje kutokana na kupato kupungua na abiria wenye kukimbilia usafiri wa trani.

5. Foleni inasababishwa na magari binafsi sio DALADALA; Sijui hizo takwimu wamezitoa wapi. wangetakiwa kufungu mageti ya kuingilia mjini kwa kucharge gari binafsi shillingi 5000; ili kudiscourage foleni.

6.Biashara ya mafuta itaongezeka kwa kuiba ya kwenye trani km tunavyo shuhudia
 
hawa ndio wenye malori, hivi nani alikuwambia private sector inaweza kutoa hudama inayostahili? tuliambiwa hivyo, serikali ikajitoa, lakini vurugu zilizopo ni somo tosha
 
nashuri mradi huu uanze kwa taratibu zinazojulikana si mradi wa kisiasa wa kupatia umaarufu, uanze 2016
 
Nimerudia taarifa yako mara zaidi ya tatu na sijaona hoja yako ya msingi ni nini. Mdau unayependelea kuendelea kuwachuna watanzania wenzako wenye kipato cha chini kwa kuwatoza minauli yenu ya ajabuajabu, jioni mnakata route kama mtakavyo,huku makonda wenu wachafu suruali zao zikiacha makalio nje! Tumechoka picha mbofumbofu! Ngoja zije hizo treni ili mboreshe huduma zenu.

Mkuu na hilo ni neno, safi kabisa.
 
Back
Top Bottom