Serikali kuanza kuwawekea umeme wa REA wananchi Masikini kwa kutumia Mabavu

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,653
218,143
Hayo yamebainishwa na Waziri wa Nishati Mh Kalemani akiwa ziarani kikazi huko mkoani Tabora , Mh Kalemani amesema kwamba haiwezekani mtu yeyote kushindwa kulipa gharama ya kuwekewa umeme huo ambayo ni Tsh 27, 000/= kwa kisingizio chochote kile.

Mh Waziri amedai serikali inafikiria kuwawekea umeme watu wote kwa gharama hata ya kuuza mifugo yao au sehemu ya mashamba yao ili kufidia .
 
Hayo yamebainishwa na Waziri wa Nishati Mh Kalemani akiwa ziarani kikazi huko mkoani Tabora , Mh Kalemani amesema kwamba haiwezekani mtu yeyote kushindwa kulipa gharama ya kuwekewa umeme huo ambayo ni Tsh 27, 000/= kwa kisingizio chochote kile.

Mh Waziri amedai serikali inafikiria kuwawekea umeme watu wote kwa gharama hata ya kuuza mifugo yao au sehemu ya mashamba yao ili kufidia .
Kuna mama mmoja alifanya wiring miezi minne iliyopita mpaka Leo anasumbuliwa kuingiziwa umeme.Mama wa watu kauza mboga mboga watu wakajitolea kumfanyia wiring baada ya yeye kununua Vifaa,lakini mpaka Leo yupo gizani.anajutia sana hela Yake
 
Mimi nazani hii ni fursa ambayo tutakuja ikumbuka...

Mababu zetu walichalazwa bakora ili shule zijengwe, kwa wakati huo waliona ni mateso au manyanyaso.

Shule zilipojengwa watoto wao ambao ni wazee wetu wali lazimishwa kwenda shule kwa bakora kwa fine mbali mbali nayo ilikuja onekana ni kero unyanyasaji lakini Leo wao ndio wakwanza wana jutia fursa ile na wamekuwa walimu wazuri wa kuipenda elimu na wana furaha kuona vijana wao wanasoma.

Hawataki uzao wao uje kujuta kama wao wanavyo juta sasa...
 
Mwambie tanesco wanauza nguzo hadi leo,kuna maeneo watu wameshindwa kuweka umeme wa shilingi 27000/=sababu wanaambiwa walipie nguzo moja hadi shilingi 330000/=

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa, kijiji cha mwaholo,kata ya Kanyelele,tarafa ya usagala,wilaya ya Misungwi,mkoani Mwanza wamewekea umeme watu 22 tu wengine eti ili wafikishiwe hadi waliopie nguzo.Zaidi ya wananchi 90+ wanahitaji umeme lakini gharama za nguzo zimewashindwa.Transformer yote wateja 22 tu,hii ni matumizi mabaya ya Transformer.
 
Hayo yamebainishwa na Waziri wa Nishati Mh Kalemani akiwa ziarani kikazi huko mkoani Tabora , Mh Kalemani amesema kwamba haiwezekani mtu yeyote kushindwa kulipa gharama ya kuwekewa umeme huo ambayo ni Tsh 27, 000/= kwa kisingizio chochote kile.

Mh Waziri amedai serikali inafikiria kuwawekea umeme watu wote kwa gharama hata ya kuuza mifugo yao au sehemu ya mashamba yao ili kufidia .

Wee mwanaharakati mwitu, unaelewa maana ya mabavu kweli?
😎😎
 
Hayo yamebainishwa na Waziri wa Nishati Mh Kalemani akiwa ziarani kikazi huko mkoani Tabora , Mh Kalemani amesema kwamba haiwezekani mtu yeyote kushindwa kulipa gharama ya kuwekewa umeme huo ambayo ni Tsh 27, 000/= kwa kisingizio chochote kile.

Mh Waziri amedai serikali inafikiria kuwawekea umeme watu wote kwa gharama hata ya kuuza mifugo yao au sehemu ya mashamba yao ili kufidia .


Ajabu kabisa

Bill za umeme mtawalipia? Au mtakuwa mkienda vijijini kuuza rasilimali zao kila mwezi ili kulipia bill?
 
Hata najua basi ? ni kiherehere changu tu cha kumnukuu waziri , kwani mabavu ni nini ?

Ulikuwepo kipindi kile kuna kodi fulani ilikuwa inaitwa development levy? Au unakumbuka kipindi cha nyuma, Kuna jamii fulani kijana akitaka kuoa alikuwa anaalika vijana wenzake mabaunsa, halafu wanamvizia binti akiwa na wenzake anaenda kuchota maji mtoni/kisimani. Wanamnyakua na kumpeleka geto kwa jamaa yao, halafu wazazi wa kijana wanaenda kutoa taarifa kwa mzazi wa binti.
Nadhani utakuwa umepata picha binti yangu.
 
Hayo yamebainishwa na Waziri wa Nishati Mh Kalemani akiwa ziarani kikazi huko mkoani Tabora , Mh Kalemani amesema kwamba haiwezekani mtu yeyote kushindwa kulipa gharama ya kuwekewa umeme huo ambayo ni Tsh 27, 000/= kwa kisingizio chochote kile.

Mh Waziri amedai serikali inafikiria kuwawekea umeme watu wote kwa gharama hata ya kuuza mifugo yao au sehemu ya mashamba yao ili kufidia .
Kamanda ipo siku utapiga magoti.
 
Mwambie tanesco wanauza nguzo hadi leo,kuna maeneo watu wameshindwa kuweka umeme wa shilingi 27000/=sababu wanaambiwa walipie nguzo moja hadi shilingi 330000/=

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom