Ni kweli Dr Kalemani kaondoka na mradi wa REA?

sirluta

JF-Expert Member
Nov 28, 2012
6,325
2,486
Habari za wakati huu wadau? Kwa masikitiko makubwa motor lawama kwa mbunge wangu wa Rombo profesa Adolf mkenda kwa kushindwa kumweleza raisi Samia Suluhu matatizo ya Wana Rombo. Nakumbuka ziara ya hayati magufuli mkoani manyara wilayani babati alielezwa tatizo la wananchi kutokuunganishiwa umeme kwa muda mrefu na alitatua tatizo lile ndani ya siku 3 zaidi ya wananchi 4000 wakafingiwa umeme.

Wilayani Rombo Kuna wananchi walihamasiahwa kufunga umeme tangu mradi wa REA umezaliwa mwaka 2016 kama sijakosea, wananchi hao kwakuwa waliaminiashwa umeme ni maendeleo, na warombo wanapenda maendeleo, waliuza Kila kitu hadi vyakula na mifugo ili waweze kufunga umeme. Cha ajabu mpaka Leo, wapo waliofariki hawajauona huo umeme, wapo waliobaki na nyaya ndani mpaka Leo hakuna umeme, wengine wamefuatilia mpaka wamefilisika wakifuatilia kufungiwa umeme bila mafanikio, wapo walioletewa nguzo mpaka kwenye nyumba zao lakini hawanashushiwa umeme, wapo waliopata umeme huo(wengi wao wakiwa ni matajiri) kero ya kuunganishiwa umeme kwa wananchi wa Rombo ni mojawapo ya tatizo kubwa lakini viongozi wanalitumia kama mradi wa kisiasa. Ikifika wakati wa uchaguzi ahadi za kufungiwa umeme zinakuwa nyingi na kubwa lakini uchaguzi ukishapita wananchi wanabaki na kero hiyo hiyo.

Namshangaa sana mkenda kutolisemea hili kwa mheshimiwa rais ama kwakuwa kwake na ndugu zake Kuna umeme hivyo si tatizo lake.

Mheshimiwa waziri wa nishati kaka yangu January Makamba nakujua ni mchapakazi mzuri, naomba chukua kero hii na unapoichukua tambua wahujumu wa Kwanza wa miradi hii ni watendaji wa tanesco hivyo ujue Rombo wilayani Kuna jipu la tanesco ambalo ukitaka kujua ni jipu kweli kweli, fuatilia habari zake kwa wananchi na vyanzo vingine vya habari vinavyoweza kukusaidia.

Hivi sasa Kuna habari za kusikitisha zinazoenezwa kwamba baada ya Dr Kalemani kutumbuliwa, mradi wa REA haupo tena. Inawezekana ni majipu haya haya ya Kalemani ndo yanaeneza habari hizi hivyo simama na Wana Rombo wanaoiamini serikali Yao wapate nishati hiyo adhimu kwao.


Naomba kuwasilisha.
 
Rea imeanza hata Kalemani hajulikani..
Mnatafuta Sana namna ya kumpa ushujaa
Mtashindwa tu..

Rea ilikuwepo kabla yake na itaendeleae kuwepo...
Yeye amepita kama wengine ...

Sifa za uwongo za kumpamba hazitawasaidia
Kazi kubwa ya kuwapamba kina Makamba ,mkuu wa nchi inaendelea kwa kasi ya ajabu ,ukijitokeza kupinga utatukanwa ile mbaya ,vijana wapo kazini mkono uende kinywani ,kazi ya kumtukana Magufuli wanaimalizia
 
Habari za wakati huu wadau? Kwa masikitiko makubwa motor lawama kwa mbunge wangu wa Rombo profesa Adolf mkenda kwa kushindwa kumweleza raisi Samia Suluhu matatizo ya Wana Rombo. Nakumbuka ziara ya hayati magufuli mkoani manyara wilayani babati alielezwa tatizo la wananchi kutokuunganishiwa umeme kwa muda mrefu na alitatua tatizo lile ndani ya siku 3 zaidi ya wananchi 4000 wakafingiwa umeme.

Wilayani Rombo Kuna wananchi walihamasiahwa kufunga umeme tangu mradi wa REA umezaliwa mwaka 2016 kama sijakosea, wananchi hao kwakuwa waliaminiashwa umeme ni maendeleo, na warombo wanapenda maendeleo, waliuza Kila kitu hadi vyakula na mifugo ili waweze kufunga umeme. Cha ajabu mpaka Leo, wapo waliofariki hawajauona huo umeme, wapo waliobaki na nyaya ndani mpaka Leo hakuna umeme, wengine wamefuatilia mpaka wamefilisika wakifuatilia kufungiwa umeme bila mafanikio, wapo walioletewa nguzo mpaka kwenye nyumba zao lakini hawanashushiwa umeme, wapo waliopata umeme huo(wengi wao wakiwa ni matajiri) kero ya kuunganishiwa umeme kwa wananchi wa Rombo ni mojawapo ya tatizo kubwa lakini viongozi wanalitumia kama mradi wa kisiasa. Ikifika wakati wa uchaguzi ahadi za kufungiwa umeme zinakuwa nyingi na kubwa lakini uchaguzi ukishapita wananchi wanabaki na kero hiyo hiyo.

Namshangaa sana mkenda kutolisemea hili kwa mheshimiwa rais ama kwakuwa kwake na ndugu zake Kuna umeme hivyo si tatizo lake.

Mheshimiwa waziri wa nishati kaka yangu January Makamba nakujua ni mchapakazi mzuri, naomba chukua kero hii na unapoichukua tambua wahujumu wa Kwanza wa miradi hii ni watendaji wa tanesco hivyo ujue Rombo wilayani Kuna jipu la tanesco ambalo ukitaka kujua ni jipu kweli kweli, fuatilia habari zake kwa wananchi na vyanzo vingine vya habari vinavyoweza kukusaidia.

Hivi sasa Kuna habari za kusikitisha zinazoenezwa kwamba baada ya Dr Kalemani kutumbuliwa, mradi wa REA haupo tena. Inawezekana ni majipu haya haya ya Kalemani ndo yanaeneza habari hizi hivyo simama na Wana Rombo wanaoiamini serikali Yao wapate nishati hiyo adhimu kwao.


Naomba kuwasilisha.
Usiwe na Shaka ...utakuja kufungiwa na Symbions..tumekutana na balozi wa Marekani...mazingira mazuri ya biashara yamewekwa
 
Habari za wakati huu wadau? Kwa masikitiko makubwa motor lawama kwa mbunge wangu wa Rombo profesa Adolf mkenda kwa kushindwa kumweleza raisi Samia Suluhu matatizo ya Wana Rombo. Nakumbuka ziara ya hayati magufuli mkoani manyara wilayani babati alielezwa tatizo la wananchi kutokuunganishiwa umeme kwa muda mrefu na alitatua tatizo lile ndani ya siku 3 zaidi ya wananchi 4000 wakafingiwa umeme.

Wilayani Rombo Kuna wananchi walihamasiahwa kufunga umeme tangu mradi wa REA umezaliwa mwaka 2016 kama sijakosea, wananchi hao kwakuwa waliaminiashwa umeme ni maendeleo, na warombo wanapenda maendeleo, waliuza Kila kitu hadi vyakula na mifugo ili waweze kufunga umeme. Cha ajabu mpaka Leo, wapo waliofariki hawajauona huo umeme, wapo waliobaki na nyaya ndani mpaka Leo hakuna umeme, wengine wamefuatilia mpaka wamefilisika wakifuatilia kufungiwa umeme bila mafanikio, wapo walioletewa nguzo mpaka kwenye nyumba zao lakini hawanashushiwa umeme, wapo waliopata umeme huo(wengi wao wakiwa ni matajiri) kero ya kuunganishiwa umeme kwa wananchi wa Rombo ni mojawapo ya tatizo kubwa lakini viongozi wanalitumia kama mradi wa kisiasa. Ikifika wakati wa uchaguzi ahadi za kufungiwa umeme zinakuwa nyingi na kubwa lakini uchaguzi ukishapita wananchi wanabaki na kero hiyo hiyo.

Namshangaa sana mkenda kutolisemea hili kwa mheshimiwa rais ama kwakuwa kwake na ndugu zake Kuna umeme hivyo si tatizo lake.

Mheshimiwa waziri wa nishati kaka yangu January Makamba nakujua ni mchapakazi mzuri, naomba chukua kero hii na unapoichukua tambua wahujumu wa Kwanza wa miradi hii ni watendaji wa tanesco hivyo ujue Rombo wilayani Kuna jipu la tanesco ambalo ukitaka kujua ni jipu kweli kweli, fuatilia habari zake kwa wananchi na vyanzo vingine vya habari vinavyoweza kukusaidia.

Hivi sasa Kuna habari za kusikitisha zinazoenezwa kwamba baada ya Dr Kalemani kutumbuliwa, mradi wa REA haupo tena. Inawezekana ni majipu haya haya ya Kalemani ndo yanaeneza habari hizi hivyo simama na Wana Rombo wanaoiamini serikali Yao wapate nishati hiyo adhimu kwao.


Naomba kuwasilisha.
Hivi Watanzania mna matatizo gani lakini? Kwani REA ilianzishwa na Kalemani?
 
Kazi kubwa ya kuwapamba kina Makamba ,mkuu wa nchi inaendelea kwa kasi ya ajabu ,ukijitokeza kupinga utatukanwa ile mbaya ,vijana wapo kazini mkono uende kinywani ,kazi ya kumtukana Magufuli wanaimalizia
Ni vema kujibu hoja kwa ufasaha, kwamba nani mwanzilishi wa mradi wa REA na hatua iliyofikiwa, na kama kuna changamoto tuone namna ya kuzitatua, na sio kusema mtu fulani kaondoka na mradi wa REA

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Rea imeanza hata Kalemani hajulikani..
Mnatafuta Sana namna ya kumpa ushujaa
Mtashindwa tu..

Rea ilikuwepo kabla yake na itaendeleae kuwepo...
Yeye amepita kama wengine ...

Sifa za uwongo za kumpamba hazitawasaidia
Sijui na Muhongo wanamuweka wapi? ujinga umewajaa vichwani, utadhani huyo Kalemani ndio alikuja nao huo mradi kwenye mfuko wa koti lake na kuondoka nao, wanakera sana hawa watu
 
Rea imeanza hata Kalemani hajulikani..
Mnatafuta Sana namna ya kumpa ushujaa
Mtashindwa tu..

Rea ilikuwepo kabla yake na itaendeleae kuwepo...
Yeye amepita kama wengine ...

Sifa za uwongo za kumpamba hazitawasaidia
Sukuma gang numero uno wameanza kusanda, mwache aote ndoto..
1634490317172.png
 
Jamani REA ilianza na JK ....

Akiwa na Muhongo.....Kalemani mwehu tu anadandia train kwa mbele....aende zake sukuma gang wanamtumainia mungu mtu anaoza sasa.....wanahaha
 
Habari za wakati huu wadau? Kwa masikitiko makubwa motor lawama kwa mbunge wangu wa Rombo profesa Adolf mkenda kwa kushindwa kumweleza raisi Samia Suluhu matatizo ya Wana Rombo. Nakumbuka ziara ya hayati magufuli mkoani manyara wilayani babati alielezwa tatizo la wananchi kutokuunganishiwa umeme kwa muda mrefu na alitatua tatizo lile ndani ya siku 3 zaidi ya wananchi 4000 wakafingiwa umeme.

Wilayani Rombo Kuna wananchi walihamasiahwa kufunga umeme tangu mradi wa REA umezaliwa mwaka 2016 kama sijakosea, wananchi hao kwakuwa waliaminiashwa umeme ni maendeleo, na warombo wanapenda maendeleo, waliuza Kila kitu hadi vyakula na mifugo ili waweze kufunga umeme. Cha ajabu mpaka Leo, wapo waliofariki hawajauona huo umeme, wapo waliobaki na nyaya ndani mpaka Leo hakuna umeme, wengine wamefuatilia mpaka wamefilisika wakifuatilia kufungiwa umeme bila mafanikio, wapo walioletewa nguzo mpaka kwenye nyumba zao lakini hawanashushiwa umeme, wapo waliopata umeme huo(wengi wao wakiwa ni matajiri) kero ya kuunganishiwa umeme kwa wananchi wa Rombo ni mojawapo ya tatizo kubwa lakini viongozi wanalitumia kama mradi wa kisiasa. Ikifika wakati wa uchaguzi ahadi za kufungiwa umeme zinakuwa nyingi na kubwa lakini uchaguzi ukishapita wananchi wanabaki na kero hiyo hiyo.

Namshangaa sana mkenda kutolisemea hili kwa mheshimiwa rais ama kwakuwa kwake na ndugu zake Kuna umeme hivyo si tatizo lake.

Mheshimiwa waziri wa nishati kaka yangu January Makamba nakujua ni mchapakazi mzuri, naomba chukua kero hii na unapoichukua tambua wahujumu wa Kwanza wa miradi hii ni watendaji wa tanesco hivyo ujue Rombo wilayani Kuna jipu la tanesco ambalo ukitaka kujua ni jipu kweli kweli, fuatilia habari zake kwa wananchi na vyanzo vingine vya habari vinavyoweza kukusaidia.

Hivi sasa Kuna habari za kusikitisha zinazoenezwa kwamba baada ya Dr Kalemani kutumbuliwa, mradi wa REA haupo tena. Inawezekana ni majipu haya haya ya Kalemani ndo yanaeneza habari hizi hivyo simama na Wana Rombo wanaoiamini serikali Yao wapate nishati hiyo adhimu kwao.


Naomba kuwasilisha.
Sio rea up tu. Ameondoka na mpango wa kusambaza mkongo wa taifa kwa nguzo za tanesco. Huu mpango ungewezesha internet kupatikana kwa nafuu nchi nzima. Labda watueleze kama hio project iko hai au ni mojawapo ya mambo yaliyowaudhi wenye kujali maslahi binafsi na wako tayari kuhujumu maslahi ya umma kwa faida yao.
 
Kweli Jiwe alikua ni janga kwa taifa letu hivi kweli wasomi wanakubali kuweka taaluma zao pembeni na kumpa akili mtu "awashikie".

Yaani mradi ambao kila anayenunua umeme anakatwa 3% inaenda kwenye REA wewe unasema Kalemani ndio anashikilia REA! Ambayo hata ilianza akiwa hata hana influence na hiyo project?


Si ajabu nyie ndio mlikua mnaona sawa Jiwe alivyokua anagawa pesa barabarani bila kuhoji anazitoa wapi na ndio nyie leo hii bado mnasema Samia mara katoa pesa zielekezwe kwenye mradi fulani kwani ni zake?

Kwahiyo hata leo serikali ikisema inapeleka maji utakuta mijinga inakenua tu meno na kupiga makofi ikisahau hiyo ni huduma muhimu na jukumu la serikali kuipeleka maana ni kupitia kodi wanazolipa ndio zinaendesha shughuli za serikali
 
Back
Top Bottom