Serikali: Kilichompata Dkt. Sospeter Bulugu kilitokana na kushuka kwa Sukari, na siyo madhara ya chanjo

mshale21

JF-Expert Member
Apr 8, 2021
2,049
4,904
Pia soma > Kwanini Waziri Gwajima anaficha taarifa ya Dkt. Sospeter Bulugu kuzidiwa ghafla wakati akitoa hotuba?

IMG_20210813_113222.jpg
IMG_20210813_113229.jpg


Kwa hiyo ndugu zangu:

#Twendeni Tukachanje
 
Ukiwa kwenye mkutano ukiona mtu amestack ghafla hivo hakuna kujiuliza yafaa kuwa nyuma yake haraka Ili kuwahi chochote kumpa usaidizi Ili asianguke au kupata dharura yeyeto.
Papa wemba alidondoka ghafla stejini pasipo usaidizi ikawa mwisho wake.
 
Back
Top Bottom