Fumadilu Kalimanzila
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 1,651
- 5,122
Bado naendelea kutathimini tukio lenyewe!
Ila niseme tu kuwa kama Taifa tunapita katika kipindi kigumu sana! Kuna distractions na sabotage nyingi sana tangu Rais Samia achukue usukani wa kuongoza Taifa hili kufuatia kifo cha ghafla cha Hayati Rais Magufuli.
Hivyo viongozi wetu wanapaswa kuwa si tu makini bali more intelligents.
Waziri wa Afya Dr.Dorothy Gwajima anaweza kuwa "Clever" but she is not" Intelligent".
Ukifuatilia tukio la Dr.Bulugu unaona kabisa it was a "Staged event" kwani ukimsoma vizuri huyo Dr.Bulugu alipoanza "Ku - pretend" kufaint kuna mtu mwenye sauti nzito kama ya Askofu Gwajima ikiuliza," alikuwa amechanja"? Na haraka sana anasema tukio hilo lisiwe covered na media! Huyo mtu tayari ukiuunganisha mawazo yake unaona kabisa presumptions zilizoko kwenye mind yake!
Kwa upande wa Waziri wetu wa Afya Dkt. Dorothy Gwajima yeye ukimsikiliza anadakia kama "empty headed", " kuna nini hapo,si akae......." Childish Brain!!!!!!
Huyu Dr.Bulugu ni nani na ana CV gani? Bulugu ?! obvious kwa hili jina ni Musukuma ( sipendi ukabila ila tunapochunguza mambo lazima "no stone left unturned")!
Viongozi wetu lazima wajue ukiunganisha dots za kauli za akina Askofu Gwajima, Humphrey Polepole na wengi walioko nyuma yao, Maajabu ya Gazeti la Uhuru kumlisha Mwenyekiti wa CCM maneno kuwa hana wazo la kugombea Urais 2025 unapata taarifa kamili kama wewe uko kwenye level za juu za interpretation!
Akina Askofu Gwajima hawajasoma clearly known formal education ( wameungaunga) ila sasa wanapesa nyingi sana walizovuna toka kwa waumini ( misukule) wao hivyo "they have big money , they can buy and sell anybody"!
Ila niseme tu kuwa kama Taifa tunapita katika kipindi kigumu sana! Kuna distractions na sabotage nyingi sana tangu Rais Samia achukue usukani wa kuongoza Taifa hili kufuatia kifo cha ghafla cha Hayati Rais Magufuli.
Hivyo viongozi wetu wanapaswa kuwa si tu makini bali more intelligents.
Waziri wa Afya Dr.Dorothy Gwajima anaweza kuwa "Clever" but she is not" Intelligent".
Ukifuatilia tukio la Dr.Bulugu unaona kabisa it was a "Staged event" kwani ukimsoma vizuri huyo Dr.Bulugu alipoanza "Ku - pretend" kufaint kuna mtu mwenye sauti nzito kama ya Askofu Gwajima ikiuliza," alikuwa amechanja"? Na haraka sana anasema tukio hilo lisiwe covered na media! Huyo mtu tayari ukiuunganisha mawazo yake unaona kabisa presumptions zilizoko kwenye mind yake!
Kwa upande wa Waziri wetu wa Afya Dkt. Dorothy Gwajima yeye ukimsikiliza anadakia kama "empty headed", " kuna nini hapo,si akae......." Childish Brain!!!!!!
Huyu Dr.Bulugu ni nani na ana CV gani? Bulugu ?! obvious kwa hili jina ni Musukuma ( sipendi ukabila ila tunapochunguza mambo lazima "no stone left unturned")!
Viongozi wetu lazima wajue ukiunganisha dots za kauli za akina Askofu Gwajima, Humphrey Polepole na wengi walioko nyuma yao, Maajabu ya Gazeti la Uhuru kumlisha Mwenyekiti wa CCM maneno kuwa hana wazo la kugombea Urais 2025 unapata taarifa kamili kama wewe uko kwenye level za juu za interpretation!
Akina Askofu Gwajima hawajasoma clearly known formal education ( wameungaunga) ila sasa wanapesa nyingi sana walizovuna toka kwa waumini ( misukule) wao hivyo "they have big money , they can buy and sell anybody"!