Gamba la Nyoka
JF-Expert Member
- May 1, 2007
- 7,022
- 9,285
Jambo zuri lakini likifanywa kwa shuruti linageuka shubiri
Kuna makampuni ya usafi mijini na wanalipwa na wameajiri watu.mimi siwezi kwenda mjini kufanya usafi wakati kodi yangu ndo kazi yake.
Sijafanya huo usafi na sifanyi,wafanye usafi bongo muvi
Nina maana watafanya usafi ijumaa jioni kabla ya saa sita usiku kuamkia jumamosi.
Nina maana watafanya usafi ijumaa jioni kabla ya saa sita usiku kuamkia jumamosi.
Nina maana watafanya usafi ijumaa jioni kabla ya saa sita usiku kuamkia jumamosi.
Naona wale wazee wa kulialia wanaendelea kulia..
Hii ni njema kwa afya zetu.Ni matumaini yetu yule mzee aliyekuja kupanda daladala Gongo la mboto na kununua muhogo wa mama lishe atakuwa akija kutuhamasisha na kusaidiana nasi kwenye zoezi hili la kizalendo,au ndo mpaka OCTOBER 2020?Serikali imetangaza kila jumamosi ya mwisho wa mwezi kuwa siku ya kufanya usafi nchi nzima!
Mh Luhaga Mpina pia amewataka wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa kuhakikisha wanafanikisha jambo hili na kuhakikisha mazingira yanakuwa safi kila siku!
Tunaipongeza serikali kwa juhudi hizi za kuhakikisha miji inakuwa misafi na kutunza mazingira..ni vyema watanzania tukaunga mkono juhudi hizi.!
Chanzo: EATV
Kweli Mungu hawezi akakupa vyote. Ningeshangaa sana, eti Mungu atupatie rasilimali na wakati huo huo atupatie viongozi wenye akili, never.